nimegundua humu watoto wengi sana.
na wengi wenu hamjawahi kuajiriwa kwenye corporates na kuona mfumo wa formal sector ulivyo.
sikilizeni kwa makini vijana. msijidanganye.
mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale.
hata kama wewe ni profesa. kama kwenye kampuni ukipangiwa kufanya kama secretary wa bosi. basi utalipwa mshahara wa level ya secretary wanavyolipwa.
hata kama wewe ni darasa la saba. kwenye kampuni ukiajiriwa kama ceo.. hapo utalipwa mshahara kwa scale ya ceo ilivyopangwa..
ukiwa bank teller hata uwe na master, cpa sijui phd.. utalipwa kwa scale ya bank teller.
inshort mshahara unapangwa kutokana na cheo ulichonacho. au kazi unayoifanya salary scale yake ni shilingi ngapi.
hii ni dunia ya free market na tunaendeshwa na power of negotiation. mambo ya scale ni huko serikalini lakini kwingine ni uzoefu na elimu vitakubeba
CPA bila experience ni shida kupata kazi kwa haraka. Nina CPA nimepata last year, nina experience ugumu wa kupata kazi, baadhi ya medium audit firms huwa haziwataki watu wenye CPA maana hawakai zaid ya mwaka bila ku resign na kutafuta kwenye maslah zaid..... so ka imekuwa kikwazo kuwa na CPA with no experience
Yaani kazi zingine bwana....hivi CPA ni zaidi ya Marketing?
Big 4 ni kina nani?Big 4 ndo mana wanakuja vyuoni kuchukua mapema vigraduates vkiwa havna ata CPA had upate unakua ushatumika vya kutosha
Hizi kejeli zako ndo huwa nakupendea we binti Ni Ukweli Kumbuka CPA unakabidhiwa Muhuri na Boarddah!hata kama cpa haina ladha sana cku hzi but ni dhambi kuifananisha na marketing,kozi ambayo unaweza kuisomea hata ukiwa bar
Ha!ha! Akina PWC, KPMG, Deloite& Touch and ENRST and YOUBG hizo ni kampuni kubwa za Masuala ya Fedha hasa Kodi, Ukaguzi, DUNIANIBig 4 ni kina nani?
Jipe matumainiWachache sana hawajaajiriwa
hebu acheni utoto jamani siku hizi demand ya CPA imeshuka sana tofauti na zamani,nawajua CPA Holder kibao bado wapo kitaani wanabangaiza tu,miaka ya nyuma ilikuwa ni nadra sana kukuta halmashauri kuna hawa watu ila siku hizi wapo tele wamejaaa.
pia mshaara unategemeana na kampuni inatengenezaje faida hasa huku kwenye private sector ila serikalini unaweza ukapigwa TGS D,PGS 12-14 nk hii ni kwa wanaoanza kazi bila uzoefu
Vipi. hivi huko serikalini wenye CPA hawakuwepo kuweza kudetect mishahara ya wafanyakazi hewa 17,000!?CPA kukosa ajira/Experience ni Ufala wake Big 4 zinawachukua Kuanzia Waliomaliza Intermediate masomo mengine utamalizia huko huko!
Sure swala ni uwezo wako wa kufanya kazi maana wako mpaka maprofesor ambao ni fyenge tu....swali kidogo, CPA(T) holder anakadiriwa kuproduce kiasi gani kwa firm katika huo mwezi?