Kichwa cha habari hakina uhalisia kuna watu wameoa familia za kishua lkn still ni sheeeeedar cha msingi kumtanguliza Mungu kwani hakuna formula kwenye hili
Mzee kaongea yake lakini kambona 1967 Mrema 1995 kila zama na matukio yake kijani walikuja na magamba 90 zikaisha zinaenda mia 500 so everything is a product of time IPO siku kijani itatoweke
Subirini 2015 ndo mtajua hawa jamaa ni genge, wahuni name maneno yote ya kibaladhuli mnayowaita you have to know cdm flower every day is increasing and the reasons clearly known andikeni tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.