Mwigulu Nchemba wadanganye wasiokujua

Mwigulu Nchemba wadanganye wasiokujua

Apa Kitundu si wauga taitai ne. Kumbe BOT (Arusha) alikuwa ni Mchumi Daraja la Kwanza Economist I sio Mchumi Mwandamizi Senior Economist kama ambavyo amekuwa akipayuka majukwaani na bungeni? Tehe Tehe Tehe.
 
Vipi safari hii imekuaje hakuja na huu Mtaji huku Sombetini?
DSC06896.JPG

Ndallo, Tumpikie Azanzala ili yamchome tumboni. Au sio Mayu?
 
Wanajamii kwanza niambatanishe Ushahidi wa kauli ya Mh. Nchemba HAPA.
Nasikitika namna Mh. Mwigulu anavyoidanganya jamii, kuna mambo mawili anayoyabainisha.

La kwanza: Kwamba yeye ni mchumi wa daraja la kwanza kwa maana alipata G.P.A. ya kiwango cha first class (4.4-5).
La pili: Kwamba yeye ni alikua mchumi mwandamizi (Senior Economist) wa Benki kuu.

UKWELI NI UPI??

La kwanza.
Kwenye digrii ya kwanza Hakuwahi kupata first class. Mwigulu Nchemba alianza degree ya Uchumi UDSM mwaka 2001 na kumaliza mwaka 2004. Katika darasa lao kulikua na FIRST CLASS MOJA TU! Aliipata Mkenya anayeitwa George Omondi, na alipata 4.4. Mwigulu alipata Upper Second Class na Darasani alikuwa wa kawaida sana, wapo waliokuwa wakimzidi (Mmoja wao alibakizwa kufundisha UDSM).

Kwenye digrii ya pili napo hakuwahi kupata first class.

La pili.
Hakuwahi kuwa mwandamizi wa Benki kuu. Mwigulu alikuwa mwajiriwa wa Benki kuu tawi la Arusha hadi anaondoka. Akiwa Benki kuu HAKUWAHI KUWA MCHUMI MWANDAMIZI. Aliondoka akiwa mchumi wa daraja la kwanza (Ikumbukwe wengi huajiriwa kama wachumi daraja la pili na kupanda hutegemea umri kazini).

Nawasilisha.

Ma**** matupu
 
kwa elimu yetu hii ya bongo usitishike ukisikia mtu ana GPA ya 1st au upper 2nd,,weng wao ni bure kabisa wakija upande wa utendaji kazi.yan wanafel kuzitetea hizo GPA zao nzur simply bicoz wanafundishwa kukarir.back to the point,,Mtu asijisifu tu (like Mwigulu) ana GPA nzur bal atuambie tangu ameipata hiyo GPA ameifanyia nin kwa field yake ambayo matokeo yake yanaonekana.Na sio aseme anaweza kufanya nini au aliwahi kuwa na cheo gan.We need the results only
 
Umenisemea..! Na ya SUGU iwekwe hapa tuone kama walimaliza form four!

Vilaza ni wengi mkuu tukisema CV nyingi ni majanga tu, hata huyu anayeitwa profesa Maji Marefu, mbunge wa Korogwe, na wengine wengi
 
Wanajamii kwanza niambatanishe Ushahidi wa kauli ya Mh. Nchemba HAPA.
Nasikitika namna Mh. Mwigulu anavyoidanganya jamii, kuna mambo mawili anayoyabainisha.

La kwanza: Kwamba yeye ni mchumi wa daraja la kwanza kwa maana alipata G.P.A. ya kiwango cha first class (4.4-5).
La pili: Kwamba yeye ni alikua mchumi mwandamizi (Senior Economist) wa Benki kuu.

UKWELI NI UPI??

La kwanza.
Kwenye digrii ya kwanza Hakuwahi kupata first class. Mwigulu Nchemba alianza degree ya Uchumi UDSM mwaka 2001 na kumaliza mwaka 2004. Katika darasa lao kulikua na FIRST CLASS MOJA TU! Aliipata Mkenya anayeitwa George Omondi, na alipata 4.4. Mwigulu alipata Upper Second Class na Darasani alikuwa wa kawaida sana, wapo waliokuwa wakimzidi (Mmoja wao alibakizwa kufundisha UDSM).

Kwenye digrii ya pili napo hakuwahi kupata first class.

La pili.
Hakuwahi kuwa mwandamizi wa Benki kuu. Mwigulu alikuwa mwajiriwa wa Benki kuu tawi la Arusha hadi anaondoka. Akiwa Benki kuu HAKUWAHI KUWA MCHUMI MWANDAMIZI. Aliondoka akiwa mchumi wa daraja la kwanza (Ikumbukwe wengi huajiriwa kama wachumi daraja la pili na kupanda hutegemea umri kazini).

Nawasilisha.

Kama nakujua vile. Maana na wewe upo hapo hapo BOT. Bosi wako huyo sasa hivi a.k.a Naibu Waziri! Atakutimua kazi..oooooooooh..shauri yako, we haya tu!
 
maelezo kuhusu degree ya pili kuwa hakuPata 1st class hayajajitosheleza, rudi katafute evidence uje upya. Pia ilete CV iliyopo kwenye tofuti ya bunge uweke hapa tuone wapi unaposema kadanganya.. Ulete pia CV ya mbowe na lema

Mbowe na Lema wanahusikaje hapa? Mada inahusu majigambo ya Mwigulu Nchemba kuhusu ufaulu wake wa shahada ya kwanza na ya pili na nafasi aliyowahi kuhudumu alipokuwa BOT. Kama huna cha kuchangia kaa kimya.
 
Tunamsubiri Nape aje na gia hii ya kuwahadaa watu wa ARACHUGA halafu aone Ndombolo ya Solo!

1012.jpg
 

Naibu Katibu mkuu wa CCM na Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba Amesema Chama cha mapinduzi (CCM)kinashangazwa na kitendo cha chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)kutumia Helikpota kwenye chaguzi zake huku kikidai kuwa ni mkombozi wa wananchi jambo ambalo ni kujitafutia sifa na umaarufu pekee kwa wananchi.
Posted: 29 Jan 2014 07:44 AM PST
mwigulu-nchemba11.jpg

Naibu Katibu mkuu wa CCM na Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba
---
Na Mwandishi wetu, Arusha Chama cha mapinduzi (CCM)kimesema kuwa kinashangazwa na kitendo cha chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema)kutumia Helikpota kwenye chaguzi zake huku kikidai kuwa ni mkombozi wa wananchi jambo ambalo ni kujitafutia sifa na umaarufu pekee kwa wananchi.

Hayo yameelezwa na Naibu Katibu mkuu wa CCM ambaye pia ni Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba wakati akifungua rasmi kampeni za udiwani katika kata ya Sombetini . Mwigulu alisema kuwa CCM inashangaa sana Chadema kutumia Helikpota kwenye chaguzi nyingi hapa nchini jambo ambalo wanaonesha wazi kuwa wanatumia gharama kubwa kwa ajili ya kuongeza sifa kwani gharama ambazo zinatumika hadi kumalizika kwa kampeni ni zaidi ya Milioni 200.

Alisema kuwa Gharama ambayo inatumika kwenye uendeshaji wa Helkopta ni gharama ambayo ingeweza kuwasaidia wanachama wao lakini hata matumizi mbalimbali ya chama hicho ambacho bado kinaonekana kukabiliwa na changamoto nyingi sana “wananchi wa kata ya Sombetini napendwa kuwaambia kuwa hata sisi wenyewe huwa tunashangaa sana ujio wa hii Helikopta na ninapenda kusema wazi helikopta hiyo inakuja ili iweze kuwazubaisha ninyi sasa msikubali kudanganywa na helikopta baliangalieni sera za mgombea “aliongeza Mwigulu

Pia aliwataka wananchi kuhakikisha kuwa kamwe hawatumiki kwenye siasa za sifa na ushahbiki kwani siasa hizo wakati mwingine zinasababisha hata vifo vya watu ambao hawana hatia ya kufa ovyo “wananchi mnapswa kujua na kutambua kuwa siasa za sasa zimebadilika sana msikubali kuwa mashabiki wa siasa bali mnatakiwa kuangalia zaidi sera za vyama na mahitaji yenu msije mkachagua kiongozi kwa ushabiki itawagharimu sana kwenye utendaji”aliongeza Mwigulu

Awali Mgombea Udiwani katika kata hiyo ya Sombetini kwa tiketi ya CCM alisema Bw David Mollel alisema kuwa ana mikakati mingi sana ya kuhakikisha kuwa anasaidia kata hiyo endapo kama atapata ridhaa ya kuongoza rasmi kama diwani David alisema kuwa changamoto ambazo atahakikisha kuwa ameweza kuzitatua ni pamoja na urekebishaji wa barabara, uboreshaji wa masoko,kna uimarishaji wa vikundi vya wanawake na jamii kwa ujumla

[HUYU NDIYE NAIBU WAZIRI WA FEDHA ZETU NA NAIBU KATUBU MKUU BARA WA CCM]

TUSAIDIANE KUCHAMBUA HOJA YA MWIGULU MCHEMBA SIJUI ALILENGA KUWAMBIA NINI WANA ARUSHA


 
Dah badala ta kuzungumza mambo ya msingi ya taifa letu watabaki kuponda cdm...na mda ndo unaenda wao cdm wanazidi kusonga tu....

Time will tell.......!!
 
Naibu Katibu mkuu wa CCM na Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba Amesema Chama cha mapinduzi (CCM)kinashangazwa na kitendo cha chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)kutumia Helikpota kwenye chaguzi zake huku kikidai kuwa ni mkombozi wa wananchi jambo ambalo ni kujitafutia sifa na umaarufu pekee kwa wananchi.
Posted: 29 Jan 2014 07:44 AM PST
mwigulu-nchemba11.jpg

Naibu Katibu mkuu wa CCM na Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba
---
Na Mwandishi wetu, Arusha Chama cha mapinduzi (CCM)kimesema kuwa kinashangazwa na kitendo cha chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema)kutumia Helikpota kwenye chaguzi zake huku kikidai kuwa ni mkombozi wa wananchi jambo ambalo ni kujitafutia sifa na umaarufu pekee kwa wananchi.

Hayo yameelezwa na Naibu Katibu mkuu wa CCM ambaye pia ni Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba wakati akifungua rasmi kampeni za udiwani katika kata ya Sombetini . Mwigulu alisema kuwa CCM inashangaa sana Chadema kutumia Helikpota kwenye chaguzi nyingi hapa nchini jambo ambalo wanaonesha wazi kuwa wanatumia gharama kubwa kwa ajili ya kuongeza sifa kwani gharama ambazo zinatumika hadi kumalizika kwa kampeni ni zaidi ya Milioni 200.

Alisema kuwa Gharama ambayo inatumika kwenye uendeshaji wa Helkopta ni gharama ambayo ingeweza kuwasaidia wanachama wao lakini hata matumizi mbalimbali ya chama hicho ambacho bado kinaonekana kukabiliwa na changamoto nyingi sana “wananchi wa kata ya Sombetini napendwa kuwaambia kuwa hata sisi wenyewe huwa tunashangaa sana ujio wa hii Helikopta na ninapenda kusema wazi helikopta hiyo inakuja ili iweze kuwazubaisha ninyi sasa msikubali kudanganywa na helikopta baliangalieni sera za mgombea “aliongeza Mwigulu

Pia aliwataka wananchi kuhakikisha kuwa kamwe hawatumiki kwenye siasa za sifa na ushahbiki kwani siasa hizo wakati mwingine zinasababisha hata vifo vya watu ambao hawana hatia ya kufa ovyo “wananchi mnapswa kujua na kutambua kuwa siasa za sasa zimebadilika sana msikubali kuwa mashabiki wa siasa bali mnatakiwa kuangalia zaidi sera za vyama na mahitaji yenu msije mkachagua kiongozi kwa ushabiki itawagharimu sana kwenye utendaji”aliongeza Mwigulu

Awali Mgombea Udiwani katika kata hiyo ya Sombetini kwa tiketi ya CCM alisema Bw David Mollel alisema kuwa ana mikakati mingi sana ya kuhakikisha kuwa anasaidia kata hiyo endapo kama atapata ridhaa ya kuongoza rasmi kama diwani David alisema kuwa changamoto ambazo atahakikisha kuwa ameweza kuzitatua ni pamoja na urekebishaji wa barabara, uboreshaji wa masoko,kna uimarishaji wa vikundi vya wanawake na jamii kwa ujumla

[HUYU NDIYE NAIBU WAZIRI WA FEDHA ZETU NA NAIBU KATUBU MKUU BARA WA CCM]

TUSAIDIANE KUCHAMBUA HOJA YA MWIGULU MCHEMBA SIJUI ALILENGA KUWAMBIA NINI WANA ARUSHA


 
Kumbe gharama za chopa ni 200m sasa hawa lumumba watasema nini tena.mchumi wao na naibu wa fedha kadhibitisha,

Kazi kwao mizigo,

M4C Daima
 
Kumbe gharama za chopa ni 200m sasa hawa lumumba watasema nini tena.mchumi wao na naibu wa fedha kadhibitisha,

Kazi kwao mizigo,

M4C Daima
200M ni ndogo? zinaweza kuhudumia ofisi ngapi za chama nchi nzima?
 
katika dunia ya sasa ya watu wanaomtegemea mungu ni kupoteza muda kumjadili jinamizi kama hili!
 
Naibu Katibu mkuu wa CCM na Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba Amesema Chama cha mapinduzi (CCM)kinashangazwa na kitendo cha chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)kutumia Helikpota kwenye chaguzi zake huku kikidai kuwa ni mkombozi wa wananchi jambo ambalo ni kujitafutia sifa na umaarufu pekee kwa wananchi.
Posted: 29 Jan 2014 07:44 AM PST
mwigulu-nchemba11.jpg

Naibu Katibu mkuu wa CCM na Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba
---
Na Mwandishi wetu, Arusha Chama cha mapinduzi (CCM)kimesema kuwa kinashangazwa na kitendo cha chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema)kutumia Helikpota kwenye chaguzi zake huku kikidai kuwa ni mkombozi wa wananchi jambo ambalo ni kujitafutia sifa na umaarufu pekee kwa wananchi.

Hayo yameelezwa na Naibu Katibu mkuu wa CCM ambaye pia ni Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba wakati akifungua rasmi kampeni za udiwani katika kata ya Sombetini . Mwigulu alisema kuwa CCM inashangaa sana Chadema kutumia Helikpota kwenye chaguzi nyingi hapa nchini jambo ambalo wanaonesha wazi kuwa wanatumia gharama kubwa kwa ajili ya kuongeza sifa kwani gharama ambazo zinatumika hadi kumalizika kwa kampeni ni zaidi ya Milioni 200.

Alisema kuwa Gharama ambayo inatumika kwenye uendeshaji wa Helkopta ni gharama ambayo ingeweza kuwasaidia wanachama wao lakini hata matumizi mbalimbali ya chama hicho ambacho bado kinaonekana kukabiliwa na changamoto nyingi sana "wananchi wa kata ya Sombetini napendwa kuwaambia kuwa hata sisi wenyewe huwa tunashangaa sana ujio wa hii Helikopta na ninapenda kusema wazi helikopta hiyo inakuja ili iweze kuwazubaisha ninyi sasa msikubali kudanganywa na helikopta baliangalieni sera za mgombea "aliongeza Mwigulu

Pia aliwataka wananchi kuhakikisha kuwa kamwe hawatumiki kwenye siasa za sifa na ushahbiki kwani siasa hizo wakati mwingine zinasababisha hata vifo vya watu ambao hawana hatia ya kufa ovyo "wananchi mnapswa kujua na kutambua kuwa siasa za sasa zimebadilika sana msikubali kuwa mashabiki wa siasa bali mnatakiwa kuangalia zaidi sera za vyama na mahitaji yenu msije mkachagua kiongozi kwa ushabiki itawagharimu sana kwenye utendaji"aliongeza Mwigulu

Awali Mgombea Udiwani katika kata hiyo ya Sombetini kwa tiketi ya CCM alisema Bw David Mollel alisema kuwa ana mikakati mingi sana ya kuhakikisha kuwa anasaidia kata hiyo endapo kama atapata ridhaa ya kuongoza rasmi kama diwani David alisema kuwa changamoto ambazo atahakikisha kuwa ameweza kuzitatua ni pamoja na urekebishaji wa barabara, uboreshaji wa masoko,kna uimarishaji wa vikundi vya wanawake na jamii kwa ujumla

[HUYU NDIYE NAIBU WAZIRI WA FEDHA ZETU NA NAIBU KATUBU MKUU BARA WA CCM]

TUSAIDIANE KUCHAMBUA HOJA YA MWIGULU MCHEMBA SIJUI ALILENGA KUWAMBIA NINI WANA ARUSHA




Sasa CUF wao wanasema watatumia HELICOPTER 2; Kuzunguka NCHI NZIMA hapo atasema Nini??

Rais wa NCHi alitumia MOJA na Mama SALMA KIKWETE alitumia MOJA kuelekea MOROGORO kwenye MAFURIKO...
 
Back
Top Bottom