Lowassa kutikisa Dar Jumapili hii

Lowassa kutikisa Dar Jumapili hii

Status
Not open for further replies.
Maisha wewe atawanyoosha mnaopenda vyakupewa Vya Bure..!!
Acha ulimbukeni..!!
Lowassa katoka Kaskazni lakini huku hatambulia chochote zaidi ya pesa zake kuliwa naanachwa Solemba..!!
Haya nenda akakunyooshe
 
Hahahha Lowasa amecheza karata kwa akili aisee................. makonda wa bodaboda nchi hii wako wangapi? Je wakiamua kupanga mstari kumpigia kura huyu mtu (kama akisimamishwa na wenye nchi) itakuwaje? hahah mabata usingu mie balahi
 
Hakika tanzania ina hitaji rais aina ya lowasa!

Lowasa ni mtu wa pekee sana hana kelele kama jirani zake chopa wao wakiguswa tuu wana piga makelele.


Lowasa ni mtu wa matendo zaidi si kelele sipati picha kama ange guswa ndugu pisto ingekuwaje?

Watanzania wana hitaji maendeleo, si kosa mtu kuchangia maendeleo na hicho ndicho tuna hitaji si kelele za chopa.

Naamini hakuna msafi tanzania hii hivyo tuna hitaji maendeleo mambo ya kelele fulani kaiba haya tusaidii kabisa.

Hivi watu wana hitaji nini zaidi ya maendeleo kwa vitendo?

Lowasa ni kiboko ya chadema na nina wahakikishia kama ccm hita mpa ruhusa ushindi utakuwa ni wa kimbuga.

Na nimegundua linapo kuja swala la lowasa hata wana chama wa ufipa wako tayari kumtosa slaa.

Hakika lowasa ni kimbuga atawasumbua wengi kama zitto anavyo sumbua ofisi za ufipa.

Kama watu wana fikiri wanaweza kumpiga kwa fimbo ya ufisadi bhasi wamechelewa maana watanzania hawadanganyiki na hizi story tena maana watu wamesha jua kuwa hata huko chadema hakuna asiye fisadi labda zitto(ngumi jiwe)

hakika kama zitto angepewa fursa ya kupambana na lowasa tungepata mtanange ambao haujawai kutokea.

Kama chadema wanafikiri wanaweza kumpambanisha lowasa na slaa bhasi wajue slaa ni mwepesi sana na anaweza akapata kura arusha tuu tena pale mjini tuu maana hata chadema wenzie linapo kuja swala la lowasa watamnyima kabisa kura.


Kwakweli lowasa ni kiboko ya chadema.
 
mkuu naomba usinitafutie ban sidhani kama ni busara kuchanganya imani za watu na siasa

Kweli kabisa Mkuu nadhani alichotaka kumaanisha ni kwamba ...THE CORRUPT AND PEOPLE WITH MORAL DECADENCE NEED LOWASSA BUT THE DEVOUTED AND HONEST CHRISTIANS ARE FOR JESUS...nadhani sisi tusome kwa uelekeo huu AU Labda angesema as the Evil needs Lucifer angeeleweka zaidi.
 
watanzania mmegeuka kuwa mazuzu. Lowasa siyo chochote ila anaumarufu wa nguvu ya pesa hana nguvu ya muna. Ache kugawa hizo fedha zake . Aache kukimbilia makanisani na misikitini home kama huko umarufu upo. Kinachowatesa baadhi ya watanzania ni kuwa na akili kama ya kuku. Tunasahau mambo kwa mda mfupi sana mtandao wa kifisadi uliomuweka baba riz hapo alipo ndiyo huohuo mtandao unaotaka kumweka mr lowasa. Sijui kama mnao ya mbele? Vijana wachache wanamshabikia lowasa wakiwa na matumaini ya kuwa pengine fadhila atakuja kuwapa baada ya kutinga magogoni lakini dhubutu lowasa hana ubavu wa kuwa rais wa tanzania hata tanganyika atamaliza fedha zake bure atakufa kwa pressure. Na ushauri apumzike maana hali yake itakuwa mbaya sana ccm wakimtosa na hata kama wasimmtosa chadema watachukua nchi mchana kweupe.

mkuu mazuzu ni wale wanao danganywa yafuatayo.

!tuta igeuza tanzania nchi ya viwanda ndani ya mwaka mmoja.

!katika watanzania watano(5) watatu(3) ni chadema na kushindwa kujiuliza inakuwaje wana wabunge 23 +wakuteuliwa?

!serikali imepitisha bomba la gas baharini kupeleka ulaya ili kuiba gas yetu.
 
Vipi hizo bodaboda anagawaje jamani na mi nikachuwe nasikia atapiga kama 600M hivi yeye pamoja na rafiaki zake. CCM kiboko yao huyu jamaa na wasipo mpa anajua pa kuwamaliza yani jamaa yupo vizuri pesa ipo na mbinu chafu zote za CCM anazijua ndo maana mwenyekiti wao yupo kimya hasemi kitu. CCM hapo lazima jasho liwatoke ukijumlisha na M4C ndo kabisa hoi!!!!!!!!!!!
 
Hii ni kufuru tena mbaya sana. Huwezi kumweka Yesu katika level moja na Lowasa. Lowasa ni mwanadamu tu tena kiumbe. Yesu ni Mwana wa Mungu na ni Mungu Kamili. Unaweza usiamini hivyo lakini hiyo hainipi mimi shida. Maana ukweli hubaki kuwa ukweli hata usipoaminiwa.

Yesu ni mungu, Mara mwana wa mungu...., wich is wich bhana....., u nid yo brain b covered to understand that....,
Mwenzio kafananisha uhitaji cio sifa......, Yesu alikuwa mtu tu..., alikuwa tena....., past tense.....!!!
 
wadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,

Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,

Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja

Lowassa tena mkuu...., throughout yo lifetime its LOwassa only....., tuna watu kibao wana maprofesheni mzigo...., nani alikuwa anajua mwakyembe anaweza jama ,Ebu semeni ukweli....
Lowassa had a chance jama and aliaribu mbaya......! Akawajibika...., unakumbuka.....! Tumor uraisi tena aje awajibike...? Acheni mambo zenu bhana....., hata angekuwa sawa vipi bhaana ....., the guy has such a bad image n u guys dont c that......, aaaah tz..!
 
Watanzania tuwe na akili, huyu mheshimiwa anatafuta mwanya kuingza pesa zake katika mzunguko wa uchumi
 
Monduli is Rich! It is a next level. Hata kama ni ujinga una kikomo. Wale wote mnaomsifia Low Head Haswa mmenielewa! Kuweni makini na mtu huyu! Ni hatari sana. Anatoa wapi pesa? Atazirudishaje hata kama ni zake? Acheni ushahabiki na ulimbukeni? Au tatizo umasikini wenu ambao umesababishwa na watu na namna hii ili muwe watumwa wao milele kuanzia babu na bibi zenu, wazazi wenu, ninyi wenyewe, watoto wenu, wajukuu wenu na hata vitukuu wenu.
 
NDUGU yangu unajidanganya LOWASSA fisadi wa kutupa hawezi kuwa Rais kupitia CCM labda Chadema wamechukue kama wanataka mafisadi ndio waongoze nchi.Fisadi kushika bendera ya CCM mwiko.Hizo pesa alizoiba akiwa Waziri Mkuu azipeleke chama kingine akapate urais huko siyo CCM. Kwa ufisadi wa Lowassa wana CCM tunapata mashaka kwamba tukimpa urais anaweza akauza hata ikulu pesa apeleke kwa wamasai wake.

Kauli za kijasiri kweli hizi. Ingekuwa CCM inafanya maamuzi kwa misingi hiyo, ningekuwa mtu wa amani sana na chama hicho kuliko msongo wa kisaikolojia unaonipata hivi sasa kila nikifikiria mustakabali wa nchi yetu chini ya CCM. Hadi sasa sijapata nafuu na uteuzi wa akina Malima na Nchemba pale Hazina wakiongozwa na mtu anayehitahi msaada mkubwa sana mwenyewe.

Ndugu yangu, bila shaka wewe, kama si mnafiki, basi ni mtu mzuri sana lakini unayeishi kwenye ulimwengu wa ndoto za aina yake! CCM inachukia mafisadi? Tangu lini? Waseme tu wanaogopa urefu wa dili za mmasai zitakazoonyesha zao kuwa cha mtoto kwa mikakati na upana. Zaidi ya yote, homa zimeshaanza kuwapanda kwani wanajua mara atakapokabidhiwa kasri la Magogoni basi ni kusubiri penati za uhakika kwa kumnyanyasa kwa miaka takriban 8 walipomtelekeza atangetange nyikani. Safari ya matumaini ndiyo imeshaanza na lazima ihitimishwe! Waombe tu CHADEMA wachukue nchi ndiyo nafuu yao.
 
Mkuu achana na huyo mwehu tokea mume wake zitto atimuliwe amekuwa mropokaji kama Nape
Yaani huyo jamaa ni bure kabisa yaani ni takataka ya kutupia mbali kabisa
Eti zamani alikuwa anajifanya mtu wa mageuzi kupitia Chadema…kumbe alikuwa ni mmoja wa masalia ya Zitto.
Baada ya bash wake Zitto kupigwa chini na yeye akili yake yote imevurugwa na sasa ukimfuatilia comment zake
hapa jamvini unashindwa hata kumuelewa huyu jamaa anaongea nini. CHADEMA IMEMVURUGA VIBAYA SANA
 
Kijani wameshikwa pabaya huku nywele nyeupe kule pamoja daima mbombo nkafu kitaeleweka tu
 
Monduli is Rich! It is a next level. Hata kama ni ujinga una kikomo. Wale wote mnaomsifia Low Head Haswa mmenielewa! Kuweni makini na mtu huyu! Ni hatari sana. Anatoa wapi pesa? Atazirudishaje hata kama ni zake? Acheni ushahabiki na ulimbukeni? Au tatizo umasikini wenu ambao umesababishwa na watu na namna hii ili muwe watumwa wao milele kuanzia babu na bibi zenu, wazazi wenu, ninyi wenyewe, watoto wenu, wajukuu wenu na hata vitukuu wenu.

we ni hovyo tu kama wazazi wako,huna jipya,lowassa ndiye rais wako ajaye,hutaki hama nchi!!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom