UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,506
- 8,803
Sifa kubwa sana ya CHADEMA ni kuweka mambo hadharani huku wakiwa na substantial evidence ... Thanks Mkuu
Kama ule ushahidi wa video wa Mbowe kuhusu lile ffu kurusha bomu.
Sifa kubwa sana ya CHADEMA ni kuweka mambo hadharani huku wakiwa na substantial evidence ... Thanks Mkuu
na hili suala limesimamiwa kidete na hao wabunge mnaowaita wa mahakama Kafulila na Zitto sasa sijui hao wabunge wenu wa halali wako wapi
Mbowe na Slaa waliingiziwa pesa nyingi sana za escrow na kalasinga wa PAP.
Hapo ndio ninapoikubali CHADEMA. Yaani bila mbunge au kiongozi wale chadema kuongelea kwa uzito kashfa yoyote, mwanangu akiwemo mtoa thread hajisikii kwamba kashfa imeongelewa. Mnaikataa mdomoni ila mnaikubali kimoyomoyo
kweli kabisa
Akili yako inafanana na ya TBC,UHURU NA MZALENDO.Toka kuibuliwa kwa hoja ya escrow nimeshangazwa mno na ukimya wa makamanda wa chama chetu CHADEMA kulizungumzia na kulisimamia kidete suala la fedha za escrow?,kama tunavyofanyaga kwenye kashfa nyingine za ufisadi,kama EPA na Richmond,na kilichoniumiza zaidi ni kitendo cha mwenyekiti kuacha suala lililoko mezani yani escrow na kuibua mjadala wa gesi, Je chadema hautaki mjadala huu kwa vile umeibuliwa na msaliti wa chadema?,au ni kweli kuna ukweli kuhusu tuhuma za kambi inayomsapoti zitto kuwa baadhi ya viongozi wakuu upinzani wamo kwenye payroll ya Escrow (ingawa tuhuma hii imekaa kisiasa)..karibuni tujadili wakuu.
Akili yako inafanana na ya TBC,UHURU NA MZALENDO.
Mbowe na Slaa waliingiziwa pesa nyingi sana za escrow na kalasinga wa PAP.
Mbowe na Slaa waliingiziwa pesa nyingi sana za escrow na kalasinga wa PAP.