Kwanini CHADEMA hawaongelei fedha za escrow?

Kwanini CHADEMA hawaongelei fedha za escrow?

na hili suala limesimamiwa kidete na hao wabunge mnaowaita wa mahakama Kafulila na Zitto sasa sijui hao wabunge wenu wa halali wako wapi

Bingwa ukiona hivo ujue halali washagundua kuwa viongoz wao wa juu wanahusika na kesi hii
 
Mbowe na Slaa waliingiziwa pesa nyingi sana za escrow na kalasinga wa PAP.
 
Toka kuibuliwa kwa hoja ya escrow nimeshangazwa mno na ukimya wa makamanda wa chama chetu CHADEMA kulizungumzia na kulisimamia kidete suala la fedha za escrow?,kama tunavyofanyaga kwenye kashfa nyingine za ufisadi,kama EPA na Richmond,na kilichoniumiza zaidi ni kitendo cha mwenyekiti kuacha suala lililoko mezani yani escrow na kuibua mjadala wa gesi, Je chadema hautaki mjadala huu kwa vile umeibuliwa na msaliti wa chadema?,au ni kweli kuna ukweli kuhusu tuhuma za kambi inayomsapoti zitto kuwa baadhi ya viongozi wakuu upinzani wamo kwenye payroll ya Escrow (ingawa tuhuma hii imekaa kisiasa)..karibuni tujadili wakuu.
Akili yako inafanana na ya TBC,UHURU NA MZALENDO.
 

Attachments

  • Rat.jpg
    Rat.jpg
    9.9 KB · Views: 374
Duh ccm ni ugonjwa wa ubongo,eti hii nayo imeonekana mada!mnatafuta sehemu ya kupumulia shwain!
 
Mbowe na Slaa waliingiziwa pesa nyingi sana za escrow na kalasinga wa PAP.

Familia ya Kikwete inamiliki hisa 50% za PAP.Hivyo imevuta billion 100 kutoka akaunti ya escrow na itakuwa inalipwa milion 200 @ day
 
Mtoa mada atakuwa siyo mtu wakufuatilia mambo,hayo na madudu mengi yamesemwa sana na chadema,labda angeuliza kwa nini zito hakuongelea na wala haongelei swala la katiba ambalo kila mtanzania analipigia kelele na yeye yupo kinyume na wapinzani hata pale inapomlazimu kuongea??
 
Mtoa mada uwe pia unaangalia tarifa za hbr kuna Star tv,Itv,Capital,Clouds,etc TBC usiangalie coz kule utakutana na hbr za kuzima mwenge tuu kisha uje kuuliza maswali.
 
Mbowe na Slaa waliingiziwa pesa nyingi sana za escrow na kalasinga wa PAP.

kwahiyo,huu wizi upo kweli!?
na kama hao wamehusika,mbona mmekalia ripoti,na porojo kibao!?mara ooh fedha siyo za umma,mara ooh hakuna wizi!?
 
Back
Top Bottom