Recent content by MGAYI TAWA

  1. M

    Ripoti ya PAC yaibwa Bungeni mpaka ya CAG iliyoko Dar!

    Watadelete hadi kwenye pc, wanaweza hao.
  2. M

    Mapinduzi ya umma Yataendelea Kushamiri barani Afrika Kuelekea 2030 serikali nyingi za kusin

    Ccm ukiona mwenzio ananyolewa anza kutia maji ukichelewa utanyolewa kavu.
  3. M

    Ikulu: Tumefedheheshwa Jaji Warioba kushambuliwa

    Huyu makonda naomba siku ajichanganye mtaani kwetu aone.
  4. M

    Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

    Huyu nyepesi akila yeye siyo ufisadi. Wakila wenzie ndiyo unakuwa ufisadi! mbona anakuwa km mama anayewaambia watoto wasikombe mboga ilhali yeye anakomba??????!!!!!
  5. M

    Ukweli wa tuhuma za Pinda huu hapa

    Mzee wa 'wapigwe tuu' 'liwalo na liwe' eti ni msafi!!!!
  6. M

    Lowassa: Sina mpango wa kutangaza nia

    Bora nichague jiwe likae ikulu kuliko nyinyiemu na lowasa
  7. M

    Mbowe: Nchi inapita katika bonde la mauti

    Hakuna marefu yasiyo na ncha.
  8. M

    Slaa asema uongo tena, atangaza kuibiwa kura 2015 na kushutumu ununuzi wa Helkopta ya Rais

    Au hujui kuwa jk ndo rais wa kwanza kuwa afisa manunuzi? Wakati huohuo ni rais!
  9. M

    The Citizen You Can't Be Serious!! Nyie ni Gazeti Makini!!

    Jamani kweli watanzania ni wavivu haijalishi wamesoma au hawajasoma, maana siku hizi mtu akimtilia wasiwasi mkewe kwa mtoto aliyemzaa anakwenda kutafuta uthibitisho kwenye vipimo vya DNA. sasa hiyo ya Kakobe haihitaji hata DNAtest,gharama yake ni kufika tu pale jumapili mchana wakati wa ibada na...
  10. M

    Vurugu za Mbagala ni zaidi ya mnachokifahamu - Oh Tanzania!

    Tatizo hapa wapo walioelewa lengo la mtoa mada, na wengine hawajaelewa kabisaaaa maana hiyo michango wanayoitoa mhhhh!!!! wote tungemwelewa mtoa mada km nilivyomwelewa mimi nadhani ingekuwa kitu rahisi sana.
  11. M

    Ripoti ya Kifo cha Mwangosi

    Asante kwa ripoti lkn mhhh! mi naamini zaidi nilichokiona kwenye kipindi kilichorushwa na mlimani tv. kwa sababu nchi hii mabingwa wa kuchakachua, hivyo sina imani na ripoti hiyo, labda wanatume wangekuwa hawana uhusiano kabisa na ze gambaz ningeamini.
  12. M

    Wassira amtaka Dr. Slaa aache kuita wake za watu chumbani!

    Labda huyu mzee wetu alikurupuka usingizini kama kawa akadhani hata ile tv aliyoiangalia palikuwa chumbani.
  13. M

    Waraka wa Tambwe Hizza kwa watanzania

    huyu Tambwe hiza sina hakika kama zinamtosha, watu kama hawa ndiyo waliostahili kuishi milembe kuliko hao walioko huko.
  14. M

    Waraka wa Tambwe Hizza kwa watanzania

    ( By Munambefu Huyo ndiye kiongozi anayetegemewa na CCM kukijenga chama!Anafikiri kwa kutumia tumbo au masaburi kama kawaida yao.Niliwahi kumsikia kwenye mkutano mkubwa wakati akiwa CUF pale temeke akisema "sitarudi CCM labda nimlale mama yangu"na sasa yupo huko,je huyu si punguani?Haraka...
Back
Top Bottom