Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
ndoto za kichaa kujenga ghorofa angani hizoYes muda bado ukifika atatangaza na ataichukua nchi hii kama rais mwaka 2016.
ndoto za kichaa kujenga ghorofa angani hizoYes muda bado ukifika atatangaza na ataichukua nchi hii kama rais mwaka 2016.
Mkuu labda anainua jina la shetaniLowasa anainua jina la Bwana?..........Glory to God.
Mkuu, watanzania wana ugonjwa wa kusahau
Fisadi Mkuu Lowasa akishughulikiwa ipasavyo nchi itakuwa salamaWee mtumwa subiria kama huku tunakoelekea tutasahau mafisadi wasio na huruma hata kidogo walichokifanya kwenye raslimali ya Taifa letu!
Lowasa anainua jina la Bwana?..........Glory to God.
Mkuu labda anainua jina la shetani
Lowassa: Sina mpango wa kutangaza nia
Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema hana mpango wa kutangaza nia ya kugombea urais kwa sasa, bali anapenda kushirikiana na waumini na wananchi katika shughuli zao za kimaendeleo.
Hayo aliyasema katika uzinduzi wa helikopta maalumu ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dar es Salaam jana.
Lowassa alisema alipopata mwaliko huo alifurahi kwa heshima aliyopewa, lakini alikutana na swali gumu linalohusiana na urais.
Nilipofika hapa, kuna mmoja wa rafiki zangu akaniuliza, umekuja kutangaza nia? Nikamwambia sikuja kutangaza nia hapa...Sina mpango huo kwa sasa. Nimekuja kusali na kushiriki kanisani kwa ajili ya kuinua jina la Bwana, alisema Lowassa.
Alisema taifa linahitaji viongozi wenye maono ambao ndiyo wanaoweza kulivusha na kulipeleka mbele.
Akihutubia maelfu ya waumini kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, alisema viongozi wenye maono ndiyo mfano unaotakiwa kufuatwa kwa kuwa utaleta mabadiliko chanya.
Hatuhitaji viongozi wenye kusimamia na kutunza hesabu. Tunahitaji viongozi wenye maono na kuhakikisha maono hayo yanatimia. Kanisa lenu lina bahati kwa kuwa lina kiongozi mwenye maono na anayeweza kuyasimamia, alisema.
Akielezea ununuzi wa helikopta hiyo, alisema amefurahishwa na hatua hiyo ambayo ni ya kihistoria nchini. Awali, Askofu Gwajima alisema anaumizwa na baadhi ya wanasiasa wanaoshindwa kusimamia uamuzi wao, huku akiwaita ndumilakuwili.
Nawajua sana wanasiasa, wapo ambao wakikwambia umepata, usipumzike, tafuta zaidi kwa kuwa hawamaanishi hivyo. Lakini Lowassa akimwambia umepata, nenda kampumzike, alisema.
Chanzo: mwananchi.co.tz
Tulijua tu hataweza. Ule ugonjwa wake wa parkinson umeanza kumshambulia sehemu ya ubongo. Sasa hivi ameanza kupoteza kumbukumbu na kutetema mikono. Afadhali kama ameamua kufuata ushauri wa daktari wake wa ujerumani. Otherwise hata kama angepata urais angetumikia kwa mwaka mmoja hivi halafu ibara ya 84 sehemu ya 1-3 ya katiba ingetumika- ibara hiyo inasema rais akishindwa kumudu majukumu kutoka na maradhi ya mwili au akili nafasi yake itachukuliwa na makamu wa rais.
Wapo mabwana wengi, lakini Bwana Mungu aliye juu sana hahitaji kuinuliwa na kiumbe chochote kilichoumbwa naye.
Lowassa: Sina mpango wa kutangaza nia
Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema hana mpango wa kutangaza nia ya kugombea urais kwa sasa, bali anapenda kushirikiana na waumini na wananchi katika shughuli zao za kimaendeleo.
Hayo aliyasema katika uzinduzi wa helikopta maalumu ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dar es Salaam jana.
Lowassa alisema alipopata mwaliko huo alifurahi kwa heshima aliyopewa, lakini alikutana na swali gumu linalohusiana na urais.
Nilipofika hapa, kuna mmoja wa rafiki zangu akaniuliza, umekuja kutangaza nia? Nikamwambia sikuja kutangaza nia hapa...Sina mpango huo kwa sasa. Nimekuja kusali na kushiriki kanisani kwa ajili ya kuinua jina la Bwana, alisema Lowassa.
Alisema taifa linahitaji viongozi wenye maono ambao ndiyo wanaoweza kulivusha na kulipeleka mbele.
Akihutubia maelfu ya waumini kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, alisema viongozi wenye maono ndiyo mfano unaotakiwa kufuatwa kwa kuwa utaleta mabadiliko chanya.
Hatuhitaji viongozi wenye kusimamia na kutunza hesabu. Tunahitaji viongozi wenye maono na kuhakikisha maono hayo yanatimia. Kanisa lenu lina bahati kwa kuwa lina kiongozi mwenye maono na anayeweza kuyasimamia, alisema.
Akielezea ununuzi wa helikopta hiyo, alisema amefurahishwa na hatua hiyo ambayo ni ya kihistoria nchini. Awali, Askofu Gwajima alisema anaumizwa na baadhi ya wanasiasa wanaoshindwa kusimamia uamuzi wao, huku akiwaita ndumilakuwili.
Nawajua sana wanasiasa, wapo ambao wakikwambia umepata, usipumzike, tafuta zaidi kwa kuwa hawamaanishi hivyo. Lakini Lowassa akimwambia umepata, nenda kampumzike, alisema.
Chanzo: mwananchi.co.tz
Tulijua tu hataweza. Ule ugonjwa wake wa parkinson umeanza kumshambulia sehemu ya ubongo. Sasa hivi ameanza kupoteza kumbukumbu na kutetema mikono. Afadhali kama ameamua kufuata ushauri wa daktari wake wa ujerumani. Otherwise hata kama angepata urais angetumikia kwa mwaka mmoja hivi halafu ibara ya 84 sehemu ya 1-3 ya katiba ingetumika- ibara hiyo inasema rais akishindwa kumudu majukumu kutoka na maradhi ya mwili au akili nafasi yake itachukuliwa na makamu wa rais.
Wewe sio Mungu, unaweza ukafa wewe watu wakakusahau Lowasa akaendelea miaka 30 mbele, sijapenda ulivyoweka hii coment mkuu, je wewe ni mzima? una uhakika wa kuiona kesho?
Lowassa: Sina mpango wa kutangaza nia
Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema hana mpango wa kutangaza nia ya kugombea urais kwa sasa, bali anapenda kushirikiana na waumini na wananchi katika shughuli zao za kimaendeleo.
Hayo aliyasema katika uzinduzi wa helikopta maalumu ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dar es Salaam jana.
Lowassa alisema alipopata mwaliko huo alifurahi kwa heshima aliyopewa, lakini alikutana na swali gumu linalohusiana na urais.
Nilipofika hapa, kuna mmoja wa rafiki zangu akaniuliza, umekuja kutangaza nia? Nikamwambia sikuja kutangaza nia hapa...Sina mpango huo kwa sasa. Nimekuja kusali na kushiriki kanisani kwa ajili ya kuinua jina la Bwana, alisema Lowassa.
Alisema taifa linahitaji viongozi wenye maono ambao ndiyo wanaoweza kulivusha na kulipeleka mbele.
Akihutubia maelfu ya waumini kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, alisema viongozi wenye maono ndiyo mfano unaotakiwa kufuatwa kwa kuwa utaleta mabadiliko chanya.
Hatuhitaji viongozi wenye kusimamia na kutunza hesabu. Tunahitaji viongozi wenye maono na kuhakikisha maono hayo yanatimia. Kanisa lenu lina bahati kwa kuwa lina kiongozi mwenye maono na anayeweza kuyasimamia, alisema.
Akielezea ununuzi wa helikopta hiyo, alisema amefurahishwa na hatua hiyo ambayo ni ya kihistoria nchini. Awali, Askofu Gwajima alisema anaumizwa na baadhi ya wanasiasa wanaoshindwa kusimamia uamuzi wao, huku akiwaita ndumilakuwili.
Nawajua sana wanasiasa, wapo ambao wakikwambia umepata, usipumzike, tafuta zaidi kwa kuwa hawamaanishi hivyo. Lakini Lowassa akimwambia umepata, nenda kampumzike, alisema.
Chanzo: mwananchi.co.tz
Tulijua tu hataweza. Ule ugonjwa wake wa parkinson umeanza kumshambulia sehemu ya ubongo. Sasa hivi ameanza kupoteza kumbukumbu na kutetema mikono. Afadhali kama ameamua kufuata ushauri wa daktari wake wa ujerumani. Otherwise hata kama angepata urais angetumikia kwa mwaka mmoja hivi halafu ibara ya 84 sehemu ya 1-3 ya katiba ingetumika- ibara hiyo inasema rais akishindwa kumudu majukumu kutoka na maradhi ya mwili au akili nafasi yake itachukuliwa na makamu wa rais.
Ole wako unayemdhihaki Mungu utakaponenewa maneno na wale maskofu waliongozwa na roho wa bwana wakamualika Lowassa na hizi dhihaka zako Lowassa na kumpangia kifo sijui kama mwaka utavuka wewe na familia yako. Nyie ndiyo wale wanaopataga mzinga kwenye vyombo vya usafiri vinavyoteketeza familia mzima Kwa sababu ya kutaka kufanya kazi ya MSW.
unapoandika masuala ya dini jitahidi kuandika lugha nyepesi na inayoeleweka kwa uraisi, hapo uliposema kiumbe chochote kilichoumbwa naye panaweza kuleta utata kama mnavyotafsiri kwamba, kitokacho ndicho kinamtia mtu unajisi kwamba maana yake ni kuruhusu kula nguruwe
huyo ni fisadi hafai hata kutangaza nia. Hafai kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kama makonda wa ccm mwenzake alivyosema na clip watanzania wote wanayolowassa: Sina mpango wa kutangaza nia
dar es salaam. Waziri mkuu wa zamani, edward lowassa amesema hana mpango wa kutangaza nia ya kugombea urais kwa sasa, bali anapenda kushirikiana na waumini na wananchi katika shughuli zao za kimaendeleo.
Hayo aliyasema katika uzinduzi wa helikopta maalumu ya kanisa la ufufuo na uzima, dar es salaam jana.
Lowassa alisema alipopata mwaliko huo alifurahi kwa heshima aliyopewa, lakini alikutana na swali gumu linalohusiana na urais.
nilipofika hapa, kuna mmoja wa rafiki zangu akaniuliza, umekuja kutangaza nia? Nikamwambia sikuja kutangaza nia hapa...sina mpango huo kwa sasa. Nimekuja kusali na kushiriki kanisani kwa ajili ya kuinua jina la bwana, alisema lowassa.
Alisema taifa linahitaji viongozi wenye maono ambao ndiyo wanaoweza kulivusha na kulipeleka mbele.
Akihutubia maelfu ya waumini kwenye viwanja vya tanganyika packers, alisema viongozi wenye maono ndiyo mfano unaotakiwa kufuatwa kwa kuwa utaleta mabadiliko chanya.
hatuhitaji viongozi wenye kusimamia na kutunza hesabu. Tunahitaji viongozi wenye maono na kuhakikisha maono hayo yanatimia. Kanisa lenu lina bahati kwa kuwa lina kiongozi mwenye maono na anayeweza kuyasimamia, alisema.
Akielezea ununuzi wa helikopta hiyo, alisema amefurahishwa na hatua hiyo ambayo ni ya kihistoria nchini. Awali, askofu gwajima alisema anaumizwa na baadhi ya wanasiasa wanaoshindwa kusimamia uamuzi wao, huku akiwaita ndumilakuwili.
nawajua sana wanasiasa, wapo ambao wakikwambia umepata, usipumzike, tafuta zaidi kwa kuwa hawamaanishi hivyo. Lakini lowassa akimwambia umepata, nenda kampumzike, alisema.
chanzo: mwananchi.co.tz