Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
Hivi hapa nawaza tu,
Mtoto aliekojolea Quran aliambiwa na mwenzake kuwa akikojolea atakuwa chizi ndio maana yeye alikojolea ili a;prove.
Ingetokea after kukojolea tu mtoto huyu angekuwa chizi kweli, hivi waislamu wangeandamana? au wangejisifu kuwa Mungu wao anajibu fatsa fasta?
All and all, udini sio kitu cha kukiunga mkono, uwe mkristo au muislamu mana vita itakapotokea ya kidini wote ni waathirika regadless of dini yako.
Mtoto aliekojolea Quran aliambiwa na mwenzake kuwa akikojolea atakuwa chizi ndio maana yeye alikojolea ili a;prove.
Ingetokea after kukojolea tu mtoto huyu angekuwa chizi kweli, hivi waislamu wangeandamana? au wangejisifu kuwa Mungu wao anajibu fatsa fasta?
All and all, udini sio kitu cha kukiunga mkono, uwe mkristo au muislamu mana vita itakapotokea ya kidini wote ni waathirika regadless of dini yako.