Wanajamvi habari, mm ni mwalimu mwenye kiwango cha elimu ya degree. Nina miaka 14 toka niajiriwe.
Niliajiriwa na certificate but now nina shahada ambayo niliipata mwaka 2018
Nipo shule ya msingi ni mwalimu mkuu lakini hiki cheo kinanitia umaskini kwakweli.
Wakati nasoma University lengo...
Kwenye elimu kusoma shahada ya uzamili ni kupoteza rasilimali fedha make hakuna faida yoyote.Upatikanaji wa vyeo una process na ni kujuana zaidi Halimashauri yetu ina waalimu 15 wana masters ila wameishia kwenye UMEKI kulipwa posho ya 250,000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.