falcon Q
JF-Expert Member
- Feb 28, 2023
- 1,197
- 3,005
Tangu lini Tanzania ina uraia pacha?
NAKAZIA HAPA
Tangu lini Tanzania ina uraia pacha?
Picha ya miaka saba iliyopita bado inakuumiza roho?Na wewe kula panya.Lissu ni mjanja. Acha nyumbu wamenyeke ili Lisu azidi kula bata.
View attachment 2775432
Tukuwekee picha za Kinana anavyokula Mirungi Nairobi?Lissu ni mjanja. Acha nyumbu wamenyeke ili Lisu azidi kula bata.
View attachment 2775432
Muwekee anavyokagua na kuchagua tusks zilizo na ujazo mzuri!Tukuwekee picha za Kinana anavyokula Mirungi Nairobi?
FUTA KAULI HIImabwana zake
Ushetani wa CCM, ni nani ana mashaka nao? Tangu lini shetani alijitenga na uovu?Kuna ujumbe unaosambazwa katika makundi ya WhatsApp na wanachama wa Chadema Jimbo la Namtumbo unaodai kuwa nabii THABO MASENYA wa nchini Afrika Kusini ametoa unabii wake unaodai kuwa Lissu ameandaliwa mpango wa kuuwawa.
Jambo hili ni upotoshaji wa makusudi unaofanywa na Lissu pamoja na kikundi chake cha watu wachache ndani ya
CHADEMA kwa lengo la kumtetea Lissu kwa kitendo chake cha kutoshiriki mikutano ya hadhara kanda ya nyasa inayotarajiwa kuanza tarehe 13/10/2023.
Lengo la kusambazwa kwa ujumbe huo ni kuwaaminisha wananchi na wanachama wa chadema kuwa Lissu hatoshiriki mikutano hiyo kwa kuwa yuko nje ya nchi kwa ajili ya kujiokoa na mpango wa kuuwawa.
Ijulikane kuwa Lissu ana uraia wa nchi mbili, Tanzania na Ubelgiji. Hivyo ana watumikia mabwana wawili yaani Chadema na pamoja na wazungu waliompatia uraia kwa maslahi yao binafsi. Tunajua ni vigumu kuwatumika mabwana wawili.
Lissu yupo nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuchukua maelekezo ya mabwana zake hususan yale ya kutumwa kurejea nchini na kuendelea kuendesha siasa zinazochochea vurugu, baada ya zile siasa zake za awali kugonga mwamba kabla ya kuamua kuondoka nchini.
Lissu hawezi kudhuriwa akiwa nchini kwa kuwa Serikali ilimuhakikishia usalama wake. Hata hivyo, katika kipindi chote alichofanya mikutano ya hadhara ambayo iliyojaa upotoshaji, kuchochea vurugu na kuwatusi viongozi wa Serikali lakini hakuna hata chembe ya dalili ya tukio la kujaribu kumuua lililofanyika.
My take kwa Chadema
Chadema kuweni makini na Lissu pasi na shaka hayuko pamoja nanyi katika kukikuza na kukiimarisha chama chenu kwa kuwa amefikia hatua ya kutoa sababu za uongo ili asihudhurie mikutano yenu.
Lissu siyo mwenzenu hii iko wazi kwa kuwa amekuwa akiendesha siasa za vurugu tofauti na siasa zinazofanywa na mwenyekiti wake Mbowe. Hii inaonesha wazi kuwa hatahudhuria mkutano huo ikiwa ni mpango wake wa kupinga siasa za Mbowe.
My take kwa Watanzania
Watanzania wenzangu tumpuuze Lissu. Tuendelee kudumisha Amani na Umoja wetu.
Yaani hata hujui kuwa Tanzania hatuna sheria ya uraia wa nchi mbili...Ijulikane kuwa Lissu ana uraia wa nchi mbili, Tanzania na Ubelgiji. Hivyo ana watumikia mabwana wawili yaani Chadema na pamoja na wazungu waliompatia uraia kwa maslahi yao binafsi. Tunajua ni vigumu kuwatumika mabwana wawili.
Rubbish ever!Ushetani wa CCM, ni nani ana mashaka nao? Tangu lini shetani alijitenga na uovu?
Nani alipanga na kutekeleza mpango uliokusudia kumwua Tundu Lisu?
Jibu: Ni shetani CCM na mawakala wake.
Nani amempoteza Ben Sanane mpaka leo?
Jibu: Ni shetani CCM na mawakala wake.
Nani alimpoteza Azory Gwanda?
Jibu: Ni shetani CCM na mawakala wake.
Nani alimwua Mawazo?
Jibu: Ni shetani CCM na mawakala wake.
Nani alimteka na kumtesa Dr Ulimboka?
Jibu: Ni shetani CCM na mawakala wake.
Nani alimpoteza Kanguye?
Jibu: Ni CCM na mawakala wake.
Nani alipora pesa ya umma kupitia IPTL na Escrow account?
Jibu: Ni CCM na mawakala wake?
Ni nani wanaolinda na kufanya kufanya wizi wa rasilimali za nchi?
Jibu: Ni shetani CCM na mawakala wake.
CCM ni alama ya uovu, ushetani na laana kwa Taifa letu. Hakuna uovu ambao CCM haishiriki, kuanzia wizi, ufisadi, rushwa mpaka mauaji.
Jiweke mbali na shetani CCM, uepuke laana.
Hakika umenena kweli ndugu yanguKuna ujumbe unaosambazwa katika makundi ya WhatsApp na wanachama wa Chadema Jimbo la Namtumbo unaodai kuwa nabii THABO MASENYA wa nchini Afrika Kusini ametoa unabii wake unaodai kuwa Lissu ameandaliwa mpango wa kuuwawa.
Jambo hili ni upotoshaji wa makusudi unaofanywa na Lissu pamoja na kikundi chake cha watu wachache ndani ya
CHADEMA kwa lengo la kumtetea Lissu kwa kitendo chake cha kutoshiriki mikutano ya hadhara kanda ya nyasa inayotarajiwa kuanza tarehe 13/10/2023.
Lengo la kusambazwa kwa ujumbe huo ni kuwaaminisha wananchi na wanachama wa chadema kuwa Lissu hatoshiriki mikutano hiyo kwa kuwa yuko nje ya nchi kwa ajili ya kujiokoa na mpango wa kuuwawa.
Ijulikane kuwa Lissu ana uraia wa nchi mbili, Tanzania na Ubelgiji. Hivyo ana watumikia mabwana wawili yaani Chadema na pamoja na wazungu waliompatia uraia kwa maslahi yao binafsi. Tunajua ni vigumu kuwatumika mabwana wawili.
Lissu yupo nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuchukua maelekezo ya mabwana zake hususan yale ya kutumwa kurejea nchini na kuendelea kuendesha siasa zinazochochea vurugu, baada ya zile siasa zake za awali kugonga mwamba kabla ya kuamua kuondoka nchini.
Lissu hawezi kudhuriwa akiwa nchini kwa kuwa Serikali ilimuhakikishia usalama wake. Hata hivyo, katika kipindi chote alichofanya mikutano ya hadhara ambayo iliyojaa upotoshaji, kuchochea vurugu na kuwatusi viongozi wa Serikali lakini hakuna hata chembe ya dalili ya tukio la kujaribu kumuua lililofanyika.
My take kwa Chadema
Chadema kuweni makini na Lissu pasi na shaka hayuko pamoja nanyi katika kukikuza na kukiimarisha chama chenu kwa kuwa amefikia hatua ya kutoa sababu za uongo ili asihudhurie mikutano yenu.
Lissu siyo mwenzenu hii iko wazi kwa kuwa amekuwa akiendesha siasa za vurugu tofauti na siasa zinazofanywa na mwenyekiti wake Mbowe. Hii inaonesha wazi kuwa hatahudhuria mkutano huo ikiwa ni mpango wake wa kupinga siasa za Mbowe.
My take kwa Watanzania
Watanzania wenzangu tumpuuze Lissu. Tuendelee kudumisha Amani na Umoja wetu.
Anzisha vurugu nyumbani kwako kama hata chakula kitalika, amani ni muhimu.Amani wakati tumbo linaunguruma kwa njaa? Pumbafu.
Mbona unatumia nguvu nyingi kuisafisha serikali yko wkt 2017 ndiyo iliyofanya jaribio la kumuua lissu??Kuna ujumbe unaosambazwa katika makundi ya WhatsApp na wanachama wa Chadema Jimbo la Namtumbo unaodai kuwa nabii THABO MASENYA wa nchini Afrika Kusini ametoa unabii wake unaodai kuwa Lissu ameandaliwa mpango wa kuuwawa.
Jambo hili ni upotoshaji wa makusudi unaofanywa na Lissu pamoja na kikundi chake cha watu wachache ndani ya
CHADEMA kwa lengo la kumtetea Lissu kwa kitendo chake cha kutoshiriki mikutano ya hadhara kanda ya nyasa inayotarajiwa kuanza tarehe 13/10/2023.
Lengo la kusambazwa kwa ujumbe huo ni kuwaaminisha wananchi na wanachama wa chadema kuwa Lissu hatoshiriki mikutano hiyo kwa kuwa yuko nje ya nchi kwa ajili ya kujiokoa na mpango wa kuuwawa.
Ijulikane kuwa Lissu ana uraia wa nchi mbili, Tanzania na Ubelgiji. Hivyo ana watumikia mabwana wawili yaani Chadema na pamoja na wazungu waliompatia uraia kwa maslahi yao binafsi. Tunajua ni vigumu kuwatumika mabwana wawili.
Lissu yupo nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuchukua maelekezo ya mabwana zake hususan yale ya kutumwa kurejea nchini na kuendelea kuendesha siasa zinazochochea vurugu, baada ya zile siasa zake za awali kugonga mwamba kabla ya kuamua kuondoka nchini.
Lissu hawezi kudhuriwa akiwa nchini kwa kuwa Serikali ilimuhakikishia usalama wake. Hata hivyo, katika kipindi chote alichofanya mikutano ya hadhara ambayo iliyojaa upotoshaji, kuchochea vurugu na kuwatusi viongozi wa Serikali lakini hakuna hata chembe ya dalili ya tukio la kujaribu kumuua lililofanyika.
My take kwa Chadema
Chadema kuweni makini na Lissu pasi na shaka hayuko pamoja nanyi katika kukikuza na kukiimarisha chama chenu kwa kuwa amefikia hatua ya kutoa sababu za uongo ili asihudhurie mikutano yenu.
Lissu siyo mwenzenu hii iko wazi kwa kuwa amekuwa akiendesha siasa za vurugu tofauti na siasa zinazofanywa na mwenyekiti wake Mbowe. Hii inaonesha wazi kuwa hatahudhuria mkutano huo ikiwa ni mpango wake wa kupinga siasa za Mbowe.
My take kwa Watanzania
Watanzania wenzangu tumpuuze Lissu. Tuendelee kudumisha Amani na Umoja wetu.
Tatizo wanachama walio wengi wa cdm wanawaamini sana wachungaji na uongo wao na mazingaombweKuna ujumbe unaosambazwa katika makundi ya WhatsApp na wanachama wa Chadema Jimbo la Namtumbo unaodai kuwa nabii THABO MASENYA wa nchini Afrika Kusini ametoa unabii wake unaodai kuwa Lissu ameandaliwa mpango wa kuuwawa.
Jambo hili ni upotoshaji wa makusudi unaofanywa na Lissu pamoja na kikundi chake cha watu wachache ndani ya
CHADEMA kwa lengo la kumtetea Lissu kwa kitendo chake cha kutoshiriki mikutano ya hadhara kanda ya nyasa inayotarajiwa kuanza tarehe 13/10/2023.
Lengo la kusambazwa kwa ujumbe huo ni kuwaaminisha wananchi na wanachama wa chadema kuwa Lissu hatoshiriki mikutano hiyo kwa kuwa yuko nje ya nchi kwa ajili ya kujiokoa na mpango wa kuuwawa.
Ijulikane kuwa Lissu ana uraia wa nchi mbili, Tanzania na Ubelgiji. Hivyo ana watumikia mabwana wawili yaani Chadema na pamoja na wazungu waliompatia uraia kwa maslahi yao binafsi. Tunajua ni vigumu kuwatumika mabwana wawili.
Lissu yupo nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuchukua maelekezo ya mabwana zake hususan yale ya kutumwa kurejea nchini na kuendelea kuendesha siasa zinazochochea vurugu, baada ya zile siasa zake za awali kugonga mwamba kabla ya kuamua kuondoka nchini.
Lissu hawezi kudhuriwa akiwa nchini kwa kuwa Serikali ilimuhakikishia usalama wake. Hata hivyo, katika kipindi chote alichofanya mikutano ya hadhara ambayo iliyojaa upotoshaji, kuchochea vurugu na kuwatusi viongozi wa Serikali lakini hakuna hata chembe ya dalili ya tukio la kujaribu kumuua lililofanyika.
My take kwa Chadema
Chadema kuweni makini na Lissu pasi na shaka hayuko pamoja nanyi katika kukikuza na kukiimarisha chama chenu kwa kuwa amefikia hatua ya kutoa sababu za uongo ili asihudhurie mikutano yenu.
Lissu siyo mwenzenu hii iko wazi kwa kuwa amekuwa akiendesha siasa za vurugu tofauti na siasa zinazofanywa na mwenyekiti wake Mbowe. Hii inaonesha wazi kuwa hatahudhuria mkutano huo ikiwa ni mpango wake wa kupinga siasa za Mbowe.
My take kwa Watanzania
Watanzania wenzangu tumpuuze Lissu. Tuendelee kudumisha Amani na Umoja wetu.
Kuna ujumbe unaosambazwa katika makundi ya WhatsApp na wanachama wa Chadema Jimbo la Namtumbo unaodai kuwa nabii THABO MASENYA wa nchini Afrika Kusini ametoa unabii wake unaodai kuwa Lissu ameandaliwa mpango wa kuuwawa.
Jambo hili ni upotoshaji wa makusudi unaofanywa na Lissu pamoja na kikundi chake cha watu wachache ndani ya
CHADEMA kwa lengo la kumtetea Lissu kwa kitendo chake cha kutoshiriki mikutano ya hadhara kanda ya nyasa inayotarajiwa kuanza tarehe 13/10/2023.
Lengo la kusambazwa kwa ujumbe huo ni kuwaaminisha wananchi na wanachama wa chadema kuwa Lissu hatoshiriki mikutano hiyo kwa kuwa yuko nje ya nchi kwa ajili ya kujiokoa na mpango wa kuuwawa.
Ijulikane kuwa Lissu ana uraia wa nchi mbili, Tanzania na Ubelgiji. Hivyo ana watumikia mabwana wawili yaani Chadema na pamoja na wazungu waliompatia uraia kwa maslahi yao binafsi. Tunajua ni vigumu kuwatumika mabwana wawili.
Lissu yupo nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuchukua maelekezo ya mabwana zake hususan yale ya kutumwa kurejea nchini na kuendelea kuendesha siasa zinazochochea vurugu, baada ya zile siasa zake za awali kugonga mwamba kabla ya kuamua kuondoka nchini.
Lissu hawezi kudhuriwa akiwa nchini kwa kuwa Serikali ilimuhakikishia usalama wake. Hata hivyo, katika kipindi chote alichofanya mikutano ya hadhara ambayo iliyojaa upotoshaji, kuchochea vurugu na kuwatusi viongozi wa Serikali lakini hakuna hata chembe ya dalili ya tukio la kujaribu kumuua lililofanyika.
My take kwa Chadema
Chadema kuweni makini na Lissu pasi na shaka hayuko pamoja nanyi katika kukikuza na kukiimarisha chama chenu kwa kuwa amefikia hatua ya kutoa sababu za uongo ili asihudhurie mikutano yenu.
Lissu siyo mwenzenu hii iko wazi kwa kuwa amekuwa akiendesha siasa za vurugu tofauti na siasa zinazofanywa na mwenyekiti wake Mbowe. Hii inaonesha wazi kuwa hatahudhuria mkutano huo ikiwa ni mpango wake wa kupinga siasa za Mbowe.
My take kwa Watanzania
Watanzania wenzangu tumpuuze Lissu. Tuendelee kudumisha Amani na Umoja wetu.
hudhalendo wa Lithu niwamashaka thanahahaminiki kabithaaKuna ujumbe unaosambazwa katika makundi ya WhatsApp na wanachama wa Chadema Jimbo la Namtumbo unaodai kuwa nabii THABO MASENYA wa nchini Afrika Kusini ametoa unabii wake unaodai kuwa Lissu ameandaliwa mpango wa kuuwawa.
Jambo hili ni upotoshaji wa makusudi unaofanywa na Lissu pamoja na kikundi chake cha watu wachache ndani ya
CHADEMA kwa lengo la kumtetea Lissu kwa kitendo chake cha kutoshiriki mikutano ya hadhara kanda ya nyasa inayotarajiwa kuanza tarehe 13/10/2023.
Lengo la kusambazwa kwa ujumbe huo ni kuwaaminisha wananchi na wanachama wa chadema kuwa Lissu hatoshiriki mikutano hiyo kwa kuwa yuko nje ya nchi kwa ajili ya kujiokoa na mpango wa kuuwawa.
Ijulikane kuwa Lissu ana uraia wa nchi mbili, Tanzania na Ubelgiji. Hivyo ana watumikia mabwana wawili yaani Chadema na pamoja na wazungu waliompatia uraia kwa maslahi yao binafsi. Tunajua ni vigumu kuwatumika mabwana wawili.
Lissu yupo nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuchukua maelekezo ya mabwana zake hususan yale ya kutumwa kurejea nchini na kuendelea kuendesha siasa zinazochochea vurugu, baada ya zile siasa zake za awali kugonga mwamba kabla ya kuamua kuondoka nchini.
Lissu hawezi kudhuriwa akiwa nchini kwa kuwa Serikali ilimuhakikishia usalama wake. Hata hivyo, katika kipindi chote alichofanya mikutano ya hadhara ambayo iliyojaa upotoshaji, kuchochea vurugu na kuwatusi viongozi wa Serikali lakini hakuna hata chembe ya dalili ya tukio la kujaribu kumuua lililofanyika.
My take kwa Chadema
Chadema kuweni makini na Lissu pasi na shaka hayuko pamoja nanyi katika kukikuza na kukiimarisha chama chenu kwa kuwa amefikia hatua ya kutoa sababu za uongo ili asihudhurie mikutano yenu.
Lissu siyo mwenzenu hii iko wazi kwa kuwa amekuwa akiendesha siasa za vurugu tofauti na siasa zinazofanywa na mwenyekiti wake Mbowe. Hii inaonesha wazi kuwa hatahudhuria mkutano huo ikiwa ni mpango wake wa kupinga siasa za Mbowe.
My take kwa Watanzania
Watanzania wenzangu tumpuuze Lissu. Tuendelee kudumisha Amani na Umoja wetu.