Recent content by Mfuga Mbwa

  1. M

    Wazo: CCM ivunjwe na mali zake zitaifishwe!

    Ndicho kitakachotokea 2015
  2. M

    Wanaume wanaopenda lift....

    Kumbuka huyo huyo Mungu aliyekupa hao unaowadharau kwa kukuomba lift ndo huyo huyo aliyewanyima na kumbuka kuna kitu kinaitwa kutesa kwa zamu, sasa ni wakati wako iko siku itakuwa ni wakati wao sijui kama utakuja humu jamvini na maneno kama haya
  3. M

    Baraza la mawaziri jipya 2015 kutoka chadema

    Mungu atatundea tu waTz tuliokuwa wapole na wavumivu kwa kipindi choote cha miaka 50 ya utumwa wa mkoloni mweusi
  4. M

    Jengo Refu Zaidi Duniani

    Tanzania litajengwa mafisadi watakapokufa woote ama ccm kuondoka madarakani tofauti na hivyo tutaishia tu kuyaona kwa wenzetu
  5. M

    Jengo Refu Zaidi Duniani

    Tofauti iliyopo ya Dar yamejengwa kifisadi siyo?
  6. M

    Nani hapo kamcheat mwenzake??

    Jamaa na demu wake walipanga kujiua,wakapnda kwenye gorofa la 10,wakaanza kuhesabu 1,2, ikifika 3 waruke,3 ilipofika jamaa akaruka dem akabaki na kujisemea "love is blind but I'm not blind,kisha akaondoka,mwanaume akiwa anashuka akaangalia nyuma alipoona hamna dem akafungua parashuti lake...
  7. M

    Fedha...

    Takrima wameibatiza ccm ili waweze kuwalaghai vizuri wadanganyika
  8. M

    Asante kwa t-shet

    Inaonyesha huyu shida ndo zilizomfanya aivae hiyo tshirt pia sidhani kama kura anapiga
  9. M

    Huduma ya agiza hawala ya crdb bank sim banking imekaaa vipi

    Kwa uhakika mzuru fika benk pindi utakapokuwa shm ya kuweza ama kama wanatoa namba za customer care wasiliana nao maana wengine humu watakupotosha tu
  10. M

    subaru ina uzwa

    Pamoja na kuwa ni mapatano ungeweka bei unayoanzia wewe pia na picha ni muhimu
  11. M

    Mwenye cv ya SHIGONGO

    Ana vyeti vya English course tu, na std 7
  12. M

    Upepo wa Kisiasa Wageuka; CCM Juu, CHADEMA Hakieleweki

    Mkuu ni wa kupinga huyu aliyetumwa na nape humu kutuletea fikra za kizee
  13. M

    Upepo wa Kisiasa Wageuka; CCM Juu, CHADEMA Hakieleweki

    MAFILILI Wewe wasema ila siyo maneno yetu waTZ
  14. M

    Ajali mbaya ya tank la mafuta muda huu mlimani Sekenke wilaya Iramba mkoa wa Singida

    Sidhani kama nitakuwa nimekosea nikisema kuwa umepaparatikia hii habari pasipo kuisoma na kuielewa
  15. M

    Ajali mbaya ya tank la mafuta muda huu mlimani Sekenke wilaya Iramba mkoa wa Singida

    Mkuu ugumu wa maisha ndo unaowapelekea kufanya kitu kama hicho wala usiwalaumu wakulaumiwa ni wale walioacha kupiga kura 2010 na wale walioisaidia ccm kuiba kura ili ccm irudi madarakani ambayo ndiyo imekuwa kinara wa kuyafanya maisha yawe magumu hata kwa watoto
Back
Top Bottom