sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
aiseeeeee babaangu ningekwepo eneo la tokio ningeenda kuchomowa betri,,betri la scania ni kati ya laki 3 au 4
Katika ile ajali iliotokea kule mbeya ya wananchi waliokuwa wanachota mafuta kulipukiwa na wengi wao kufa... kuna marehemu mmoja aliewaponza wenzake.. Wakati wenzie walikuwa busy kuchota mafuta.. yeye akaenda kuchomoa betri.. Akatengeneza cheche.. Kilichotokea wakijua.. Ucisogelee betri wakati wenzio wanachota mafuta..