But China itajenga WORLD TALLEST BUILDING.... Sky City One .. 838meters tall.... itakuwa tayari at the end of April 2013....
Jionee hii kitu ya Mchina, just three months...
China to build world's tallest building - in*just 90 days - Asia - World - The Independent
Nipo Mbioni kukomboa Jimbo la Korogwe Mjini Kutoka utawala dhalimu wa CCM wana CDM na watanzanianitahitaji ushirikiano wenu....Msaada wa Mawazo na mbinu za ushindi..........
Lipo Dubai
Linaitwa Burj Khalifa
Lina urefu wa mita 829.8
Lina apartments za kuishi 900
Lina vyumba vya hoteli 304
Lina parking spaces 2957
Jengo hilo, Burj Khalifa, lina ghorofa mia moja na sitini. Waisilam huanza kula futari mara wanapoona jua limezama.
BBC Swahili - Habari - Kisa na Mkasa na Salim Kikeke
hiyo speed si itabidi nidai kufunga mikandaHiyo Burj Khalifa nimeshaipanda. Lift yake ina speed kali. Dakika moja umeshafika gorofa ya 125!
ni la nchi gani?
Tatizo jengo lao litakuwa la KichinaJionee hii kitu ya Mchina, just three months...
China to build world's tallest building - in*just 90 days - Asia - World - The Independent
USA wapo busy na vita na kubaki na vichuguu kama vya magogoni kwa JK, wenzao wanafanya mambo.! Kwishney Baraka Huseni ObamaLipo Dubai
Linaitwa Burj Khalifa
Lina urefu wa mita 829.8
Lina apartments za kuishi 900
Lina vyumba vya hoteli 304
Lina parking spaces 2957
Burj Khalifa Facts | CTBUH Skyscraper Database
Visit the Burj Khalifa -- The Tallest Building in the World
View attachment 73970
View attachment 73971
BBC - Swahili:
Waisilam wanaoishi katika jengo refu zaidi duniani, wanalazimika kusubiri muda zaidi kufutari kuliko waisilam wengine, kwa kuwa jua linachelewa kuzama huko walipo, kutokana na urefu wa jengo hilo.
Jengo hilo liitwalo Burj Khalifa liko Dubai.
Kiongozi wa juu wa kidini wa Dubai, Mohammed al-Qubaisi amesema wale wanaoishi zaidi ya ghorofa ya themanini, lazima wasubiri dakika mbili zaidi, baada ya muda kutimia mjini Dubai ili kupata futari yao.
Mwezi wa Ramadhani ulianza wiki moja iliyopita.
Gazeti la Mirror limesema shekhe huyo amesema wale wanaoishi katika ghorofa ya mia moja na hamsini na kuendelea, watalazimika kusubiri dakika tau zaidi ya wenzao.
Jengo hilo, Burj Khalifa, lina ghorofa mia moja na sitini. Waisilam huanza kula futari mara wanapoona jua limezama.
BBC Swahili - Habari - Kisa na Mkasa na Salim Kikeke
Hata hapo dar yapo mengi tu,angalia hata yale majengo pacha b.o.t ya balali