Huduma ya agiza hawala ya crdb bank sim banking imekaaa vipi

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
Jamani leo nimepata sms ya kuwa tayali nimeshasajiliwa sim banking ya crdb sasa katika kuperuzi ili niangalie huduma zipatikazo kwenye sim banking nikakuta huduma ya ""agiza hawala"....sasa mwenye uelewa na huduma hiii please anifahamishe iko vipi.....na ameshawahi kutumia kwa maana hapa nipo mbali na benki kwa hiyo sikupata nafasi kufahamu hili.................


Please mwenye uelewa huduma hiii atujuzeee jamani
 
Kwa uhakika mzuru fika benk pindi utakapokuwa shm ya kuweza ama kama wanatoa namba za customer care wasiliana nao maana wengine humu watakupotosha tu
 
Back
Top Bottom