Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Jamani leo nimepata sms ya kuwa tayali nimeshasajiliwa sim banking ya crdb sasa katika kuperuzi ili niangalie huduma zipatikazo kwenye sim banking nikakuta huduma ya ""agiza hawala"....sasa mwenye uelewa na huduma hiii please anifahamishe iko vipi.....na ameshawahi kutumia kwa maana hapa nipo mbali na benki kwa hiyo sikupata nafasi kufahamu hili.................
Please mwenye uelewa huduma hiii atujuzeee jamani
Please mwenye uelewa huduma hiii atujuzeee jamani