Mweleze mmeo kuwa we ndio imemsababishia ili mtubu wrote dhambi mtakasike na muutafute USO wa mungu baada ya hapo katika maombi katika roho na kweli mungu atamfungua.... Tiba hiyo mungu pekee abmnaweza ,mganga hakuna anachokifunga mungu ashindwe.
Hata Internet bundle wanatuibia sana tunafanywa kama punda kwa faida ya wachache... Unatumiwa text umepewa one GB kumbe ni mb 500 they created own system to steal us money...tcra mnatumia technology gani kuhakiki quantity ya hivi vifurushi km ni kweli au tunaibiwa km wakala wa vipimo...
Fikra finyu ,mkipendana tu hakuna shida. Tatizo tuko kimwili sana sana na ndipo tunapikosea beside nijimpata MTU sahihi cjali ako na mtoto I will Mary her na kulea familia pamoja,mbona wanawake wabatukubali ilihali tunakua na watoto tayari? Everything is both sides tuache ubebali na mambo ya...
This is not fair kwa hiyo kila mtanzania anaetokea mikoa ya mipakani asiseme kitu kisa ataambiwa tunamashaka na uraia wake...... Huu in ubaguzi inauma sana kubaguliwa, alifikaje university km they didn't verify his nationality? Noo tuwe wakweli jmn kwenye hili I'm not supporting kabisa.haya sasa...
Nimeuza my new premio na naitafuta hiyo gari.... Brevis iko very comfortable ndani,no nzito iko stable hats ukipita kwenye rasta husikii nikama uko kwenye BMW au Benz ,iko fast gari zote huhitaji matunzo brevis hazina tatizo LA engine isipokua mafuta .kuchoka kwa gari kunategemea na matunzo yako...
Hakuna tozo yeyote kwa kuingia ama kutoka katika nchi za sadc..... Ukimwi upo kila mahali si Botswana peke yake, take care isichukue demu wa mtu hutorudi....... Mambo mengine unaweza consult ubalozi, though basi utachoka sana
Ni sahihi, commissioned officer kuanzia nyota moja anapokutana na assistant inspector ,inspector au ssp hana ulazima wakumsalimia na Hakuna madhara ya kinidham kwakua wanakua hawana presidential commission..... Kuanzia listen ussu wanapata heshima kubwa kwa kivuli cha raisi...... Hivyo tpdf...
Wadau vipi na hili la watu WA show room, kubadilisha piston za gari kabla ya kuliuza? Jamaa yangu alifanyiwa hivyo mpk ikamlazimu kufunga piston mpya OG ndio gari ikatulia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.