Maandamano ya Amani yapo kikatiba, ikiwa wanaoandamana wanapinga uwepo wa jambo fulani linaloenda kinyume na kufanyika sivyo ndivyo.
Hata kama wameyazima lakini wakae watambue kuwa Mungu Yupo na Muovu akitawala wananchi wanaugua. Mungu yupo na atatenda haki, kama vile alivyotenda nyakati zote.
Punguza vyakula vya wanga kabisa. Kula sana mboga na matunda kwa wingi na endapo chakula chako kitahusisha wanga, basi kula wanga size ya ngumi yako.. Usiache kula mchana na asubuhi maana muda huo Digestion inafanyika vizuri na mwili unahitaji nishati zaidi. Hivyo, Epuka kula chakula kingi wakt...
Usijali mkuu, amekukosa huyo. The same situation ilinikuta. After pills nenda kapime. Bilieve me uko safe.
N:B Hali imekuwa mbaya sana kwa sasa! Hauwez kumuamini MTU kwa kumtazama tu! Acha ngono zembe au mara zote jitahidi kujua hali Ya kila mwenza unayekutana nae, tumia kinga kila mara...
Naunga mkono hoja.. Inatakiwa wabadilike katika kujenga barabara zenye ubora. Inashangaza kuona barabara zinajaa maji na kusababisha foleni mvua inaponyesha hata kidogo tu! Yaani mitaro ya maji inayojengwa pembezoni mwa barabara ndio inayoleta shida yote hyo na zile chemba za maji.
Hapo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.