Sasa rasmi walimu kuajiriwa kupitia usahili

Ibra tiger

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
285
645
Nianze moja kwa moja,

Nlikua nafatilia Kongamano la Rasimu ya Sera Mpya ya Elimu na Mitaala ya 2023, katika mabadiliko hayo mojawapo ni namna ya kuandaa na kuajiri walimu.

Katika sera hii walimu watatakiwa kufanyiwa usahili na watakaopita ndio wataajiriwa, na walimu wote pia watatakiwa kusajiliwa.

Vile vile kunamabadiliko mazuri katika kuandaa walimu, ambapo sasa ualimu ngazi ya cheti utakoma badala yake walimu wa msingi watakuwa waliyohitimu Kidato cha Sita na watasoma Diploma ya Elimu ya Msingi kwa miaka miwili.

Kwa walimu wa sekondari watakuwa wakisoma Shahada ya Ualimu kwa miaka mitatu na mwaka mmoja wa internship jumla miaka minne.

Kiukweli haya ni mabadiliko chanya, kwani mkazo mkubwa katika kuandaa walimu sasa utajikita katika elimu kwa vitendo yaani elimu ya amali.
 
Nianze moja kwa moja, nlikua nafwatilia kongamano la rasimu ya sera mpya ya elimu na mitaala ya 2023. Katika mabadiliko hayo mojawapo ni namna...
Huo mwaka mmja wa internship utakuwa ni mwaka wa vitendo zaidi Ili kuendana na mabadiliko ya sera ya Elimu au siyo?
 
1683890755488.png
 
Nianze moja kwa moja,

Nlikua nafatilia Kongamano la Rasimu ya Sera Mpya ya Elimu na Mitaala ya 2023, katika mabadiliko hayo mojawapo ni namna ya kuandaa na kuajiri walimu.

Katika sera hii walimu watatakiwa kufanyiwa usahili na watakaopita ndio wataajiriwa, na walimu wote pia watatakiwa kusajiliwa.

Vile vile kunamabadiliko mazuri katika kuandaa walimu, ambapo sasa ualimu ngazi ya cheti utakoma badala yake walimu wa msingi watakuwa waliyohitimu Kidato cha Sita na watasoma Diploma ya Elimu ya Msingi kwa miaka miwili.

Kwa walimu wa sekondari watakuwa wakisoma Shahada ya Ualimu kwa miaka mitatu na mwaka mmoja wa internship jumla miaka minne.

Kiukweli haya ni mabadiliko chanya, kwani mkazo mkubwa katika kuandaa walimu sasa utajikita katika elimu kwa vitendo yaani elimu ya amali.
Safi
 
Ujinga hii Elimu ya Tz inahitaji transformation na sio ujinga wa kujiandikia tu vitu bila mpangilio
Hayo mapendekezo ndio yataletwa hiyo transformation mnayosema..

Serikali ilitoa mda wa kupeleka maoni mwaka mzima ila hakuna ukichofanya Bali waliotoa maoni ndio haya yamechakatwa na kuja na hii rasimu Sasa sijui unapatuka hapa Kwa faida ya nani.
 
Nianze moja kwa moja,

Nlikua nafatilia Kongamano la Rasimu ya Sera Mpya ya Elimu na Mitaala ya 2023, katika mabadiliko hayo mojawapo ni namna ya kuandaa na kuajiri walimu.

Katika sera hii walimu watatakiwa kufanyiwa usahili na watakaopita ndio wataajiriwa, na walimu wote pia watatakiwa kusajiliwa.

Vile vile kunamabadiliko mazuri katika kuandaa walimu, ambapo sasa ualimu ngazi ya cheti utakoma badala yake walimu wa msingi watakuwa waliyohitimu Kidato cha Sita na watasoma Diploma ya Elimu ya Msingi kwa miaka miwili.

Kwa walimu wa sekondari watakuwa wakisoma Shahada ya Ualimu kwa miaka mitatu na mwaka mmoja wa internship jumla miaka minne.

Kiukweli haya ni mabadiliko chanya, kwani mkazo mkubwa katika kuandaa walimu sasa utajikita katika elimu kwa vitendo yaani elimu ya amali.
Bila kuongeza mishahara zote hizo ni mbwembwe mana walimu wamekata tamaa
 
Back
Top Bottom