Recent content by metj

  1. M

    Mtoto wa miaka 16 ajiua baada ya picha zake za ngono kusambaa

    Hawazaliwi nao ila huvuta na kushawishiwa na wafanyaji wa hilo janga la kisaikolojia baada ya hapo huwa janga zaidi na majuto mengi japo mbele za watu wanajiona wako sawa. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

    Sasa huyo mtoto atafanana na nani vile duh
  3. M

    Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

    Viazi gani nitumie vazi vitamu au viazi mbatata
  4. M

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Majimbo ya kihijini wametangaza lakini ya mjini bado Naona walakini
  5. M

    Mashine ya Ice-cream inauzwa

    Ninauza Mashine ya Ice-cream Italian style nimetumia kwa wiki tatu tuu haina shida yoyote. Nicheki nikupe bei nzuri.
  6. M

    UKAWA wakubali kuchemka

    Mliyempa sumu akipona mtajua tuu maana atawavuruga
  7. M

    Twende na Dr JP Magufuli mpaka kieleweke 2015

    Kupoteza muda
  8. M

    Mkakati wa kummaliza Askofu Gwajima huu hapa!

    Kwanza naona kuna ujjanja mwiingi katika huu mchakato.yaani wale waumini wake hawaoni kosa hata kiddoggo
  9. M

    Mkakati wa kummaliza Askofu Gwajima huu hapa!

    Naona huyu aatakuwa mfuasi wa gwajima alichoandika hakifanani na taarifa ya polisi
  10. M

    Penzi la daktari tamu jamani

    Utaota ndoto Za zuzu huyo unamjua keeling?????
Back
Top Bottom