UKAWA wakubali kuchemka

UKAWA wakubali kuchemka

Reuters

Nmetafakari sana juu ya kamanda mwenzetu lowasa
Dhidi ya mpinzan wake dkt magufuli lakin sijaona pa kutokea

Kwa lowasa lazima tukubali tuliingia choo cha kike
Lowasa hachomoki kwa magufuli

Nawashauri makamanda wenzangu tumchague tu magufuli
Kwan hatujaona tatzo lake
N mchapakazi
Kuliko kamanda wetu lowasa
 
Last edited by a moderator:
Wamekubali kushindwa muda mrefu 2ila wanajifanya vichwa ngumu lakini October co mbali wata2lia 2

Badala ya kutangaza sera wana subiri za CCM kisha wana kopi na kupesti, CCM wako sema hiki . Kesho yake Ukawa wana modify ahadi hiyo hiyo, hawana Ilani, mgombea anasema vikaratasi vya kuandikiwa.
 
Badala ya kutangaza sera wana subiri za CCM kisha wana kopi na kupesti, CCM wako sema hiki . Kesho yake Ukawa wana modify ahadi hiyo hiyo, hawana Ilani, mgombea anasema vikaratasi vya kuandikiwa.

Nawahurumia sana ukawa
maana hawana ilani mpaka mda huu
 
Wanatafuta kiki za vifo sasa,na waacha tu uchunguzi wa Mchungaji ufanyike,wataaibika
 
Nilicho jifunza siasa za tz. Watu wa nafuata mtu. Kinguge kaamua kumfuata aliye kuwa anamsapoti el na sio sera za chama.

Na kuna wanachama nawajua wa CDM watakaopigia kura chama si mtu (EL)
Hamna jinsi...wafanyeje na wakisusa chama chao kitakufa kifo cha mende...

Kuna mdingi mmoja kadata kabisa...leo unamsikia sipigi kura...kesho napigia UKAWA si Magufuli...kesho yake hakuna tofauti kati ya EL na Magufuli...ni sheeder....Mara Slaa kanunuliwa....unamuuliza sh ngapi? anang'aa macho...

Raha sana kutokuwa na chama..,unaamua bila influence ya mahaba...
 
Vijana kuweni makini mcije mkajuta afadhali kua mbichi kuliko kuungua tuchague mtu mchapakazi sio chama.
 
Back
Top Bottom