Recent content by Meshackmlingo

  1. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Laigwanani Mkuu Edward Lowassa, Akitimiza majukumu yake ya Ulaigwani

    Hata kuandika hicho ndio size zako
  2. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania BURE: Shule zimepokea pesa kwa awamu ngapi mpaka sasa?

    Madaftari unifomu chakula nauli nk hivi nighari kwelikweli kuliko ada hakuna elimu bure hapo tafakari
  3. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Mfalme Daudi wa Tanzania

    Nanukuu: nyerere aliwahi kusema katiba ya nchiii hii ukiitumia tofauti unaweza ukajiita mungu kama sijakosea sasa naona mwisho wa siku itakuwa hivo
  4. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa John Pombe Magufuli, Rais wa awamu ya tano Tanzania

    Huwezi kuelewa kamwe badilisha jina lako
  5. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa John Pombe Magufuli, Rais wa awamu ya tano Tanzania

    Mnafiki wa kwanza ni wewe
  6. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Mbunge aliyewaita Wabunge wa UKAWA Ma-Baby achukuliwe hatua!

    Kama unahisi kuendesha chama ni kazi ndogo kama hizo sentensi hapo ulizoandik muulize zitto kwanini alipata mbunge mmoja
  7. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Ndugai apinga watumishi kuishia kusimamishwa tu, ataka wafukuzwe!

    Wakwanza kupigwa wewe
  8. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Madiwani Ilala wampinga Mkurugenzi juu ya machinga

    Hata wewe uache upuuzii ondoka kwanza wewe
  9. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania TAARIFA

    Utafiti uliofanywa na wasomi wa chuo kikuu cha NOTTINGHAM nchini uingereza umesema kwamba WATANZANIA ndio watu WANAFIKI wakubwa DUNIANI
  10. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Hivi pesa alizochangisha Mbowe zilienda wapi?

    Mbona hukuuliza kampeni nzima ilitumia pesa ngapi unauliza pesa uliyochanga wewe wakati inawezakana hata hukushiriki hata kidogo tujifunza kuongelea mambo ya msingi
  11. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu: Wapinzani wako makini, CCM acheni kurusha vijembe!

    Umeona na mwisho kabisa watasema ukweli kuwa hawakushinda urais
  12. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Magufuli hafai kuwa Rais: Siyo msafi na hajawahi kuwa msafi

    Jibu letu ni washabiki wacha tuishi hivo binafsi sina cha kumuona p...zda analamaana analofanya huwezi kukamata wezi wakati wewe hujajikamata hilo ni changa la macho
  13. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Dhambi ya usaliti aliyo nayo Lowassa ilianzia kwa baba yake mzazi wakati wa kudai uhuru

    maneno mengine bakisha kesho utaongea nini kama mtu aliwasaliti wakoloni wewe unamchukia hivi nyinyi watu wengine mmesoma shule gani
  14. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe ndie rais ajaye wa JMT 2025

    Huyu jamaa binafsi ninajua kuwa ni msomi mzuri na nimtu amabae ni mfano wa kuigwa ila hutumia vibaya uwezo alionao kile kitendo cha kukiuza chadema kwa billions ambazo alikuwa anatumiwa Germany kwenye akaunti ya mwanamke mmoja aliesoma nae shule na kisha kutumiwa kwa western union kuanzia mwaka...
  15. Meshackmlingo

    JamiiForums Tanzania Izack Emil afikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumtukana Rais Magufuli Facebook

    Mwalim nyerere aliwahi kusema kama sijakosea mwaka 82 kuwa katiba ya nchi hii usipojiangalia unaweza ukajiita mungu badala ya magu
Back
Top Bottom