BURE: Shule zimepokea pesa kwa awamu ngapi mpaka sasa?

BURE: Shule zimepokea pesa kwa awamu ngapi mpaka sasa?

iparamasa

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
13,437
Reaction score
14,941
Serikali ya awamu ya tano iliahidi elimu bure miezi sita iliyopita,mwanafunzi hatalipia kitu,wadau mlioko katika sekta ya elimu mtupe mrejesho,je kiasi gani kimefikishwa kwenye shule zetu?pesa zimepelekwa mara ngapi?hali ikoje?je elimu itakombolewa au tunaongeza mahudhurio tu?
 
Serikali ya awamu ya tano iliahidi elimu bure miezi sita iliyopita,mwanafunzi hatalipia kitu,wadau mlioko katika sekta ya elimu mtupe mrejesho,je kiasi gani kimefikishwa kwenye shule zetu?pesa zimepelekwa mara ngapi?hali ikoje?je elimu itakombolewa au tunaongeza mahudhurio tu?
Madaftari unifomu chakula nauli nk hivi nighari kwelikweli kuliko ada hakuna elimu bure hapo tafakari
 
Shida,Mimi nilisikia wamepeleka hela mara moja tu tena hazitoshelezi
 
Back
Top Bottom