Recent content by MENEMENE TEKERI NA PERESI

  1. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    MPYA Umeshawahi Kujiuliza Kwanini Ombaomba Wengi Hawana Kipara?

    Kalisome vizuri tena hilo desa mdogo wangu kuna vitu umeviruka .
  2. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Ratiba ya msiba wa William Lukuvi. Mazishi kuongozwa na Rais Samia

    Dah kaka nimesikitika sana kuona nyuzi zinaunganishwa kiasi cha emoji uliyoweka katika mambo ya kisiasa kuona inalazimishwa itumike kwenye mambo ya huzuni hili sijalipenda moderator . Kaka KERATO MOMBAA huu uzi aliupandisha awali ulikuwa wa comrade Lucas Mwashambwa akieleza uwepo wa amri jeshi...
  3. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Dah kosovo basi anafaa pia kuwa msanii kwamba Haika si mkewe tena ? Kama ni hekima na busara basi amejaaliwa na kama ni uwezo wa kuzihimili hisia nampa salute aisee sikulijua hili . Ila Haika naye nampa pongezi zangu nyingi kwamba muda wote hawakusema neno mpaka hapo alipoamua kutaotoa kosovo ...
  4. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Sasa bora iwe ni habari za kutumia skin care walau weupe wake unasound vizuri . Ila kuna hawa akina mwaisa wanaotumia cocopulp ,extra carrot ,carribean, cocoderm ,top lemon na perfect white 🙌 ,mtu upande wa jicho moja ni mweupe sana na upande mwingine ni mweusi kama mkaa wa kiwira . Itoshe...
  5. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Duniani ulikuwa huogi na mbinguni unataka uende na uchafu wako ? Si yakobo wala mathayo wataokukabli kukuraki mawinguni kaka
  6. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Ni kitu gani kilikufanya ugundue rafiki yako sio rafiki yako?

    Na hapa kila mtu atalalamika kutendwa tu ,hasemi nilikuwa snitch wamba wakanikataa
  7. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Jiandae twenzetu Ismani tukawafariji akina Amos na N big kwa kuondokewa na baba gentleman naona huku wamekukamia
  8. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Li brother Tlaatlaah leo limeamkia kuchambwa na waja kisa demu wake wa sokota ,Aisha tako moja
  9. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango nae. Nawaza bwana ake akijua sijui itakuaje

    Ni maneno kuntu kaka sema ndiyo vile huyu uwa ni mzee wa kuchangansha genge
  10. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    DOKEZO Udanganyifu wa mitihani Paradigms

    Wanatupwa vijijini kwa sana ,ni rahisi kwa asilimia 99% clinical officer kuajiriwa kuliko MD kaka 🫢
  11. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Baada ya kujitenga na mirathi ndugu zangu wamenitenga

    Dah kweli hasira amekimbi kabla hajaweka mambo wazi ili mbivu na mbichi zijulikane
  12. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Kiishe wapi mkwe ,ndiyo maana nahisi hapa yanarushwa mawe gizani
  13. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Linachambwa dume fulani hivi tambi kama mimba ya nguruwe na sura kama kaka wasira
Back
Top Bottom