min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 54,593
- 155,188
Jamaa post zake ni za kibaguzi sana, nilimwona kwenye uzi wako tenaNini tena?
Jamaa post zake ni za kibaguzi sana, nilimwona kwenye uzi wako tenaNini tena?
Hii nchi imefikishwa hapo na CCM. Ingawa Kijakazi ana msimamo wa jino kwa jino.Jamaa post zake ni za kibaguzi sana, nilimwona kwenye uzi wako tena
Kwa kifupi upate mwanamke ambae kashakinai heka heka za dunia utaenjoyTatizo jamaa yetu hajatuambia inabidi body count ya mwanamke isome ngapi ndio awe mwanamke salama wa kuolewa.
20+ wana stahili pongezi badoUkiwaza sana ndoa kama betting, hadi kufikia kuzikana sio mchezo
😅 siku hizi hata kama hela ipo kuachana kupo pale pale ausio20+ wana stahili pongezi bado
Ova
Hawa wana stahili tuzo aise 😄Dah kosovo basi anafaa pia kuwa msanii kwamba Haika si mkewe tena ?
Kama ni hekima na busara basi amejaaliwa na kama ni uwezo wa kuzihimili hisia nampa salute aisee sikulijua hili .
Ila Haika naye nampa pongezi zangu nyingi kwamba muda wote hawakusema neno mpaka hapo alipoamua kutaotoa kosovo ?
Nimejifunzq kitu aisee ,mimi kelele za kuachika zilianzia mtaani na sasa zipo internationally ni mwendo wa kumsema yule dada wa watu .
Mbona mkiwa hamna kitu mtaishi vizuri tu mali+kipato kikiongezeka sasa shida ndipo zinapoanzia😅 siku hizi hata kama hela ipo kuachana kupo pale pale ausio
Kabisa aiseHawa wana stahili tuzo aise 😄
Ova
mbona maskini nao kila siku wanatoa malio mzee 😅Mbona mkiwa hamna kitu mtaishi vizuri tu mali+kipato kikiongezeka sasa shida ndipo zinapoanzia
Ova
Daaah!!😂KUKAKAKE!!!Hiyo sensa ya Wajane WEngio MASAKI NA MWENGE kulko kwenu hapo Mbagala kibonde maji na kwa mbiku sababu mbona zipo wazi.
MASAKI mtaa mmoja una nyumba kumi , kwenu Kibonde maji ni nyumba moja ya kupanga , yaani ukingia uani kuna wapangaji 15n na choo kimoja cha nje, hivyo mtaa ukiwa na wajane wawili Masaki ni sawa na nyumba moja ya Kwenu madongo poromoka.
Tuombee saa familia na ndoaDaaah!!😂KUKAKAKE!!!
Ni kweli Mbezi Garden ni ya kitambo sana niliwahi pumzika pale mid 90s, na hapo nimeona wameoana 2001. Nakumbuka nilipokua hapo nilielezwa mmiliki ni mzee wa kichaga, sasa sijui ndio itakua huyo baba yake Haika.Wewe ndo h
Una hizo information.
Hiyo Mbezi Garden aliianzisha mzee Lawere miaka 90 mwanzoni(92 or 93).
Wakati hata huyo Magesa hajielewi.
Haika kakuta mali akaendeleza.
Suala mtambuka, jiandae kisaikolojia kupata mwanamke kwa wastani wa chini kishatembea na wanaume 5, hakika utakuwa na amani kwenye ndoa, ila ukisha muoa, hakikisha unamlinda tu wale waliomtoa bikra wasirudi maana hawezi kusahau aliyemtoa bikra mpaka anaingia kaburini na aliyemtoa akija hatongozi, mwanamke analegea kama mbwa kwa chatu.
Sasa uoe mwanamke ambae ashatumika na minimum approximation ya wanaume watano halafu ufanye kazi ya kumlinda asifuatwe na maex wake, kwanini usioe tu bikira kuondoa huo usumbufu. Maelezo yako yanaonyesha mwanamke used ana uwezekano mkubwa zaidi wa kuchepuka kwa sababu bado ana kumbukumbu za mambo aliyoyafanya na maex wake
Kama ndo huyu aliekua anaongea hapa basiiiii sababu za ndoa kuvunjika zishajulikana. In short wanaume tuna maadui wengi sana, tutafika tumechoka sana.
View: https://www.instagram.com/reel/DZTbnKysvpP/?igsh=dDd0NDgwZ2cyMXBr
Kama ndo huyu aliekua anaongea hapa basiiiii sababu za kupewa talaka zishajulikana. In short wanaume tuna maadui wengi sana, tutafika tumechoka sana. Robert Heriel Mtibeli toa neno Mkuu, wewe ndo mtetezi wetu tunakutegemea.
View: https://www.instagram.com/reel/DZTbnKysvpP/?igsh=dDd0NDgwZ2cyMXBr
Kama ndo huyu aliekua anaongea hapa basiiiii sababu za kupewa talaka zishajulikana. In short wanaume tuna maadui wengi sana, tutafika tumechoka sana. Robert Heriel Mtibeli toa neno Mkuu, wewe ndo mtetezi wetu tunakutegemea.
View: https://www.instagram.com/reel/DZTbnKysvpP/?igsh=dDd0NDgwZ2cyMXBr