kuna pic ya mond na misa wamekaa vit vya kifalme ka nigeria iv na ka vaa kifalme inaonekana walikuwa wanatafuta kik na wameongelewa hswa tusubir iyo video then uyo romyjones kuna tetes kuwa jana alienda statehouse then akatimuliwa na zar kuwa why alimficha kuhusu mond kutoka na misa? ndo story...
Yaani yule mama ana matatizo kwel kwel ni waswahil hasa wa tandale wao kila mkwe ni mbaya kwao labda wanataka walale na uyo diamond ndo kilichobak wanawivu mpaka bac lol
warumi ujaleta umbea za tetes kuwa simba anatoka na hamisa alafu mama alimlisha zar keki na mkono wa kushoto wengine amewalisha mkono kulia embu jazia nyama huo umbea maana lei ista imechafuka esma dada wa dai anadaiwa ndo kuad kamuonganishia hamisa kwa mond
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.