Anayefahamu muongozo wa mitihani ya wizara(NACTE) katika hiyo koz je ipo kwa kila level yaani cmt04,cmt05,cmt06 au ipo vip hiyo
Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
mhhh nikiangalia picha hizo,duh sielewi kabisa kifo changu kitakuwa cha aina gani.nguvu ya mwenyenzi mungu itutawale katika maisha yetu.R.I.P kwa wote waliofariki katika tukio hilo.SIASA,UDANI,UKABILA NDO CHANZO CHA YOTE HAYO
tuache kuwa na mtazamo hasi,serikali imejitenga namaswala ya dini toka zamani,raisi hawezi akazingatia huyu dini gani katika uteuzi wake,bali yeye ataangalia yupi ni mtendaji bora,mchapakafi,mbunifu ambaye ataleta maendeleo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.