Habarini wakuu,
Naomba kuulizia bus linalotoka DSM kwenda Uganda na ofisi zao zilipo (kana lipo lolote) au njia rahisi na ya bei nafuu ya kutuma mzigo kwenda Uganda.
Ni kwamba ili kuuza kwa haraka… jifanye kama ulikuwa unauza bei kubwa, afu uza kwa bei uliyopanga kuuza. Fanya hivyo kwa kuweka bei zote mbili but ile kubwa fanya kama umeikata. Mfano:
was 25,000 TZS (afu unakata)
now 20,000 TZS.
Wenye uzoefu watujuze asee… I heard the same, inaanza kuzaa baada ya miak mitatu then baada ya miaka mingine mitatu uzalishaji unapungua hadi kuacha kabisa
Wamechukua pia eneo la michese na kuwapa wananchi viwanja mbadala ambavyo vipo mbali sana na mjini na viwanja hivyo wanapaswa walipie. Imagine mtu alikuwa na kiwanja chake lakini anahamishwa na kuhitajika kulipia upya tena. Inahuzunisha sana…
Few months kabla ya kustaafu kuna semina huwa wanapewa... for a week or two weeks. Mara nyingi huwa inafanyika Mwalimu nyerere memorial or vyuo vya utumishi wa umma. My dad attended the semina but ni kama haikumsaidia [emoji1787] hela zinavuruga, xinahitaji utulivu mkubwa sana wa akili
[emoji23][emoji23][emoji23] daah... ni kweli lakini. Dogo atakuwa na walakini. Labda kama amesoma shule za day miaka yote. Lakini pia inabidi ajifunze kukaa na watu sio kumuendekeza hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.