Recent content by Meko Junior

  1. Meko Junior

    SoC03 Tusidanganyane, hakuna litakalochochea utawala bora wala uwajibikaji. Tumeharibu tuwaambie ukweli

    1.Tukumbuke Miaka ya kwanza baada ya uhuru wa Tanganyika chini ya uongozi wa Julius Nyerere yalikuwa na changamoto na mafanikio katika suala la uwajibikaji na utawala bora. Hapa ni muhtasari wa kipindi hicho: Uwajibikaji na Utawala Bora: Nyerere alijitahidi kuweka misingi ya uwajibikaji...
  2. Meko Junior

    Serikali yasitisha ujenzi wa vituo vya mafuta

    "TUVIONAVYO SIVYO VILIVYO"
  3. Meko Junior

    Mauaji ya visasi

    Mkuu samahani hiki kisa ni kile cha miaka ya 2008 kurudi nyumba, mbezi beach, alipigwa risasi mbele ya familia yake na watoto walikuepo, au nakosea ndugu Mshana
  4. Meko Junior

    Kwenye maisha

    Maisha bila tozo inawezekana..
  5. Meko Junior

    Kufanya biashara sio Jambo rahisi, mtaji pekee sio lolote

    Amekwambia "Mungu au waganga" utachagua wewe. Kuna mtu huko anakuombea bila wewe kujua ndugu yangu, huendi kanisani au msikitini wala huendi kwa waganga ila kuna mtu anakuweka kwenye maombi...Mambo ya kiroho yanatupa Discipline ndugu yangu, ukubali au ukatae.
  6. Meko Junior

    Siasa ni mchezo mchafu sana, waachwe wanaoujua Waucheze

    Umeandika vyema sana, ila naomba kuuliza, unawaongeleaje watu kama kina Zitto kabwe ambao wako nje ya chama, Je wako ndani ya chama tawala ila wanaficha ficha ama ni nini?! Zitto kabwe ni mtu imara tu kwa maoni yangu, au kuna sehemu nachanganya sielewi?!
  7. Meko Junior

    Ongea/Andika chochote chenye mantiki, Sio lazima mtu akuelewe

    Ulichoandika kina mantiki sana ila sijakuelewa. Karibu kwenye uzi wa hovyoo[emoji23]
  8. Meko Junior

    Ongea/Andika chochote chenye mantiki, Sio lazima mtu akuelewe

    Hakunaga harufu mbaya, niwewe tu hujazoea kuinusa.
  9. Meko Junior

    Serikali iwasaidie wakulima wa mihogo wa Wilaya ya Handeni

    Shida sidhani kama ni soko, ila gharama za usafirishaji, namna ya kupata masoko hivyo vyote vinahitaji muda na pesa, jambo ambalo wakulima wengi hawawezi fanya.
  10. Meko Junior

    Intaneti imezidi kupanda Bei

    Hili ni kapeti la nyumba ipi mkuu?!
  11. Meko Junior

    Vipimo vinaonesha nina UKIMWI

    Kwanini ulipima?! Ona sasa. ]
  12. Meko Junior

    Gharama za Ujenzi kwa ramani hii

    Sijajua makadirio ya ujenzi ila ushauri wangu mdogo tu wenye manufaa makubwa, nenda kanunue vifaa mwenyewe usimtume fundi kama utaweza. Mbao ya elf 6, atakwambia elf 9 au 10. Makinika, utanishukuru baadae. Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  13. Meko Junior

    Nipokeeni binti mrembo

    Mbona sauti kama ya kiume, au mashida ya mtandao?!
  14. Meko Junior

    Upinzani Tanzania umenunuliwa rasmi

    Wakaze buti, naona wamekubali walishikwa pabaya. Mwananchi ambae haijui SIASA bora asiijue na asiifatilie kabisa maana ni mchezo wa ajabu sana, huwezi kuelewa wala kuamini kama vyama pinzani wanatupigania sisi wananchi au maslahi yao. Tuishi tu hivyo hivyo maana hakuna namna tena. Sent from my...
  15. Meko Junior

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Vita ni Akili nyingi sana, ngoja tuone. Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom