- Thread starter
- #21
mbonaa makasiriko jomoni...Utakuta huyu anaejiita "binti mrembo" ni kijeba chenye ndevu kabisa. Sasa jichanganye!
mbonaa makasiriko jomoni...Utakuta huyu anaejiita "binti mrembo" ni kijeba chenye ndevu kabisa. Sasa jichanganye!
We ukisoma UANDISHI wao, utaona jinsi walivyo na uzoefu wa hapa JF.Hivi hawa ambao huja humu kwa kujitambulisha huwa ni wapya kweli au ni wenyeji waliobadili ID ?
Una uhakika kama huyo ni bintiKaribu binti mrembo
soon nakaleta, mkae mkao wa kula!! mnawe mikono lakini..ka picha basi mai wetu jmn !! utupiapo
hapa tumepigwa, enaseketeshaaaaaaaaaNashukuru kwa ukaribisho wenu wanaJF, wale wakunitembeza majukwaani ndio naoga apa nivaee nitoke
na pia niko single atii
Mmeshaanza kauzibe madomo zege nyie!!! vidume wa ukweli hawazibiwi mnajisumbua tu !! wataingia tu ivoivo mazima mazima, hata kma wakikuta kuna midevu wanarudisha majeshi faster!!..shida iko wapi?Utakuta huyu anaejiita "binti mrembo" ni kijeba chenye ndevu kabisa. Sasa jichanganye!
umri wooote huu bado uko single??? njoo nikuogeshe dawa!! midume imejaa kila kona yaani hata jiwe hakutaki japao kafa??o naoga apa nivaee nitoke💃💃💃
na pia niko single atii