Recent content by Mejasoko

  1. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Eti Mapenzi yanauma? Hivi mnajuaa maumivu ya NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW AJIRA PORTAL nyie?

    Pole sana inaumiza mkuu, ila kubali tu yaishe usonge mbele kwa fursa nyingine
  2. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Eti Mapenzi yanauma? Hivi mnajuaa maumivu ya NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW AJIRA PORTAL nyie?

    Mkuu inaumiza sana hasa unapokosa maksi 1 tu very painful
  3. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Ni kweli Kikwete amesema watoto wake hawatapata hata shilingi moja kutoka kwenye utajiri wake wa fedha taslimu?

    kwa vyanzo gani vya mapato na biashara gani kubwa, Anglia article iliyoandikwa na citzen
  4. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hivi kwa nini kada za vyuo (Tutorial assistant na lectures hawatoi pdf za majina ya walioitwa kama kada nyingine wao watu wanaitwa kimya kimya tu
  5. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wadau hivi Kuna mtu humu alifanya oral interview ya tutorial assistant au assistant lecture chuo cha ushirika Mocu
  6. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Habari gani
  7. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania KERO Kukataliwa na mfumo kwa wahitimu wa Digrii ya Microfinance & Enterprises Development

    Mkuu umeongea vyema mimi mwenyewe inanisumbua sana hii Kuna kazi zinatoka za Entrepreneurship na hatuitwi pia, TRA hatuitwi na tumesoma Taxation Management na Account course kibao, BOT bank officers walitutosa na tulisoma Bank Operations 1&2 account for bankers na courses kibao za finance, ukija...
  8. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania NSSF wanalipaga tarehe ngapi pesa za Kila mwezi?

    Kila mwisho wa mwezi
  9. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera mkuu ukawe Mtumishi Mtumishi mwema, kila la kheri usisahau kutuombea tu.
  10. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Tanzania yatajwa nchi ya kwanza Kusini mwa Afrika na ya nne duniani kwa kuporomoka kwa viwango vya uhuru

    Hii ni kwa mujibu wa mtandao wa visual capitalist. Chati inajieleza wakuu, serikali inapaswa kuchukua hatua, hii sio sifa njema kimataifa, kibiashara na uwekezaji.
  11. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Nilipoteza Kazi kipindi ambacho niliihitaji kuliko nyakati yoyote

    Kama upo Dar kazi za sales and marketing nyingi sana, kama vipi nenda pale makumbusho mwanga Tower, ghorofa ya 17 Kuna Kampuni ya kusambaza dawa za mbu hua wanatafuta watu wa masoko, peleka CV yako huwezi jua lolote likawa poa, pia usiache kufuatilia job sites, LinkedIn, na sehemu mbalimbali...
  12. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinachoitwa kipaji (kuzaliwa na uwezo wa kufanya kitu fulani)

    Kwa kifupi jamaa unamaanisha "wakati mwingine jitihada huzidi kudra" wazungu housema "practice make it perfect" labda tukubaliane hivyo. Ila ishu ya kipaji ipo na ni kweli ila sio njia pekee ya kufanikiwa kwenye kila jambo, lakini ikitumika vizuri ndio njia Bora zaidi ya kufanikiwa kwenye kila...
  13. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Online writen interview za Utumishi wanatoa vipi maksi?

    Ingia kwenye website ya PSRS utaona
  14. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Online writen interview za Utumishi wanatoa vipi maksi?

    Hatari sana
  15. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Nimetoka kuangalia matokeo ya written iliyofanyika nimeshangaa kwani nilizofanya ilikua na maswali 30 tu Sasa Kuna namna maksi zimekua very accurate hakuna decimal point Wala Nini sijui ni mfumo gani wanatumia kurate maksi? Maana unakuta mtu ana 95, mwingine 94, 93, 92, 90, 89 88, 87, 86, 85 na...
Back
Top Bottom