Eti Mapenzi yanauma? Hivi mnajuaa maumivu ya NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW AJIRA PORTAL nyie?

Eti Mapenzi yanauma? Hivi mnajuaa maumivu ya NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW AJIRA PORTAL nyie?

Niliwahi kusumbuliwa na maumivu ya jino nikajidanganya jino linamaumivu makali kuliko macho, siku niliposumbuliwa na macho nikasema afadhali ya jino.

Yote Tisa, kumi ni niliposumbuliwa na maumivu ya sikio.....aseeee sikio linauma acheni baaana!!. Unaskilizia maumivu ya sikio hadi unapoteza muelekeo na balance ya mwili.

Binadamu tumeumbiwa kusahau
Maumivu yote hayo unaweza kwenda hospital ukatibiwaa lakini maumivu ya NOT SELECTED hayana tiba
 
Hauko peke yako, nmefanya interview 2 za BOT last weekend nilikua Mbeya na zote zimesoma "Not selected for oral interview" kudadek hapa niko nalewa siku ya 7 ya wiki nipo Bar na lewa nikiwa na andika hii c

Kiukwelii tangia nizaliwee sijawahii kuhisi maumivu kama siku ambayo nilifanya interview mbili kwa siku moja pale Dodoma kipindi hicho mambo ya kufanyia online hayajaanza usiku saa mbili nipo zangu lodge nakutana na NOT SELECTED zote moja nimepata 49 na wamechukua hadi 50 na hapo nimetokea SONGEA hadi Dodoma.

Maumivu niliyoyasikiaa sijawahii kuyasikia tangia nizaliwee ila namshukuru Mungu hatimaye nilikuja kupata kazi kupitia ajira portal lakini yale maumivu sitokuja kuyasahau
Mkuu inaumiza sana hasa unapokosa maksi 1 tu very painful
 
Hauko peke yako, nmefanya interview 2 za BOT last weekend nilikua Mbeya na zote zimesoma "Not selected for oral interview" kudadek hapa niko nalewa siku ya 7 ya wiki nipo Bar na lewa nikiwa na andika hii comment.
Pole sana inaumiza mkuu, ila kubali tu yaishe usonge mbele kwa fursa nyingine
 
Kiukwelii tangia nizaliwee sijawahii kuhisi maumivu kama siku ambayo nilifanya interview mbili kwa siku moja pale Dodoma kipindi hicho mambo ya kufanyia online hayajaanza usiku saa mbili nipo zangu lodge nakutana na NOT SELECTED zote moja nimepata 49 na wamechukua hadi 50 na hapo nimetokea SONGEA hadi Dodoma.

Maumivu niliyoyasikiaa sijawahii kuyasikia tangia nizaliwee ila namshukuru Mungu hatimaye nilikuja kupata kazi kupitia ajira portal lakini yale maumivu sitokuja kuyasahau
Pole sana
 
Niliwahi kusumbuliwa na maumivu ya jino nikajidanganya jino linamaumivu makali kuliko macho, siku niliposumbuliwa na macho nikasema afadhali ya jino.

Yote Tisa, kumi ni niliposumbuliwa na maumivu ya sikio.....aseeee sikio linauma acheni baaana!!. Unaskilizia maumivu ya sikio hadi unapoteza muelekeo na balance ya mwili.

Binadamu tumeumbiwa kusahau
Sikio 🙌🙌
Jino nimeumwa
Jicho pia, ila sikio 😄😄😄😂 litengwe, kumbuka linauma ndani huwezi hata kugusa oyaa
 
Nakumbuka NILIPATA supp ya 39 somo moja, na huyo lecture ukisupp hiyo ni carry automatic 😂😂
Ilibidi ni appeal bachelor yenyewe miaka minne na Mimi nilipost pone.. shule ilinichosha kbs
 
Maumivu niliyoyasikiaa sijawahii kuyasikia tangia nizaliwee
Mkuu umewahi kubanwa na zipu kwenye ngozi ya pumbu? Yaan ile unafunga tu zipu ikapita na ngozi ya pumbu ikabanwa hapo kurudisha chini huwezi kurudisha juu huwezi umenasa hapo umewahi?
 
Maumivu ya muda mfupi, ila omba sikio lisikuume utakuja hapa kuongezea nyama kwenye comment yangu😀😀
Limewahi kuniuma na ikapita hivyo bila shida wala halitishi ndio imekuuliza maumivu ya kubanwa na zipu kwenye pumbu hayavumiliki unahisi km unapaa angani unahisi km umekaa kumbe umesimama
 
Sikio 🙌🙌
Jino nimeumwa
Jicho pia, ila sikio 😄😄😄😂 litengwe, kumbuka linauma ndani huwezi hata kugusa oyaa
Sikio ni habari nyingine, unatamani kichwa wakikate kitupwe
 
Back
Top Bottom