Aliwekwa mstari mbele kama liability ili mapinduz yakifeli,ye ndo abebe msalaba,wenyeji walikuwa Wana hofu,na WA bara walihofu ingeleta ingemletea sura mbaya Mwalimu Jk
Kuajiriwa wanaajiriwa ckatai Ila kiwango kipi, ratio ya nafasi ya ajira n mdogo,coz mara nying nafac hazizid mbili kwa kampuni, labda kama unasubir waliopo wastaafu ama washer dunia
Ukimchunguza sana mtu,utakufa kabla ya muda wako,kikubwa ni kujitahid kutimimiza yaliyo muhimu kama mme,ukimwona mwanamke anayarudia madanga ake ujue maajabu alyotegemea kukuta ndani ya ndoa hajayaona ,saa nyingine n tamaa zake mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.