Recent content by meinrad mutashobya

  1. meinrad mutashobya

    Akumbukwe John Okello, Baba wa Taifa la Zanzibar. Bila huyu leo Zanzibar wangekuwa bado Utumwani

    Aliwekwa mstari mbele kama liability ili mapinduz yakifeli,ye ndo abebe msalaba,wenyeji walikuwa Wana hofu,na WA bara walihofu ingeleta ingemletea sura mbaya Mwalimu Jk
  2. meinrad mutashobya

    Nafasi za kazi Tanzania Red Cross Society

    Sio mdogo kwa certificate
  3. meinrad mutashobya

    Usijaribu kusoma kozi hizi, utakufa njaa

    Kuajiriwa wanaajiriwa ckatai Ila kiwango kipi, ratio ya nafasi ya ajira n mdogo,coz mara nying nafac hazizid mbili kwa kampuni, labda kama unasubir waliopo wastaafu ama washer dunia
  4. meinrad mutashobya

    TUCTA: Kima cha chini cha mshahara kiwe 970,000

    Hao wabunge wako wangapi,na watumishi n wangapi
  5. meinrad mutashobya

    Kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa, sisi wanadamu tunakuwa wapi? (Education is power)

    Mi kuna muda waga Nina hisia kuwa nshawahi ishi duniani kabla ya kuzaliwa upya
  6. meinrad mutashobya

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hii siyo chai bali n regular
  7. meinrad mutashobya

    Wanawake huwa mnakwama wapi?

    Ukimchunguza sana mtu,utakufa kabla ya muda wako,kikubwa ni kujitahid kutimimiza yaliyo muhimu kama mme,ukimwona mwanamke anayarudia madanga ake ujue maajabu alyotegemea kukuta ndani ya ndoa hajayaona ,saa nyingine n tamaa zake mwenyewe
  8. meinrad mutashobya

    Wanawake huwa mnakwama wapi?

    Aendelee kuangaika na dunia ili nipate maradhi
  9. meinrad mutashobya

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nawe mbona hatujapata simulizi yako
Back
Top Bottom