Wanawake huwa mnakwama wapi?

Wanawake huwa mnakwama wapi?

Umeombwa kumsitiri
Eti kumsitiri mbona kama unamfanyia favour?mi ningekuwa mwanaume kama ndoa ni kumsitiri mwanamke nisingeoa aisee yani unatafuta stress in the name of kusitiri smh
Hebu acheni kujifanya nyie ndoa hamzitaki,mwanaume anae oa yeye pia anauhitaji wa ndoa ndio maana kafanya hayo maamuzi
Nakazia.
 
Ukimchunguza sana mtu,utakufa kabla ya muda wako,kikubwa ni kujitahid kutimimiza yaliyo muhimu kama mme,ukimwona mwanamke anayarudia madanga ake ujue maajabu alyotegemea kukuta ndani ya ndoa hajayaona ,saa nyingine n tamaa zake mwenyewe
 
Wanawake ni waigizaji wazuri sana. Akitokea kiherehere akatangaza ndoa basi mwanamke atachofanya ni kuwatia block ma ex wake wote ili Jamaa amuamini kama kaokota dodo kumbe nyanya chungu. Akishaolewa tu anaanza kuwa unblock ma Ex wote wanakuwa active

NB: Mada haihusiani kabisa na maisha yangu binafsi maana walimwengu hamchelewi
Pole sanaaa kwa yalokukuta mkuu vumilia tu ndo mambo ya ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom