Recent content by Megla

  1. M

    Ridhiwani Kikwete kachukizwa na kitendo cha Nape kumpa bendera Diamond Platnumz?

    Inasikitisha sana kwa mtu kama yeye kutoa kauli kama Hiyo.
  2. M

    Deutch Welle yaanza uchochezi

    Habari ipi ya uchochezi? Eleza kitu kinachoeleweka basi. Unatoka mapovu tuuu
  3. M

    Diamond Platnumz kaharibu kwa Davido?

    Tutolee upuuz hapa
  4. M

    Video: Udhalilishaji wa mwanamke kuchapwa viboko hadharani na wanaume, serikali ichukue hatua

    Hivi na mwanaume akichapwa ni sawa au na serikali ichukue hatua pia.
  5. M

    Tusilaumu hovyo, tuoredheshe mazuri na mabaya aliyofanya Magufuli toka awe Rais ili tupate ukweli

    Kufanya mazuri kwa kiongozi yeyote uliemchagua ni wajibu wake na sio favor uelewe hivyo.
  6. M

    Hii ndio dini ya kweli na ndio nimeamua kuifuata

    Kama unafikiri kupata Mali na vyote unavyovitaka ndiko kuwa na dini ya kweli nakupa pole sana. Umepotea sana. Mungu akuhurumie
  7. M

    CHADEMA, Zitto & Co. chuki zenu, Baraka kwa Nchi yetu!

    Mwenye njaa siku zote ni mtuma tu.
  8. M

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Nampongeza sana sana pascal mayala ndiye pekee aliyejua kilochompeleka pale Wengine naona hawakuwa wamejiandaa kwa chochote.
  9. M

    Wahariri na waandishi, kabla ya kikao na Rais Magufuli, hamkukaa kujadiliana maswali ya kuuliza?

    To be honesty naona kama wahariri hawakuwa wamejiandaa
  10. M

    Nilimuacha mke wangu kwa kukopa pride bila kuniambia

    Kusamehe sio issue ila Aeleze kwanza laki 9 alikopa ya nn na alifanyia nn ? Usikute alikuwa anahonga Serengeti boys. Maana Nina mashaka kama kweli alikopa kwa mambo ya msingi lazma angekushirikisha. Lakini kwa kuwa alifanya siri basi kuna uwezekano mkubwa sana hizo pesa alifanyia mambo ya siri...
  11. M

    Tabia mbaya: Nimemkanya mke wangu, anataka kuondoka

    Unajua siku zote asiye haki hukimbia hata asipofuatiwa na mtu Ww tatizo lako nn ? Mbona unakuwa na imani za ovyo ovyo? Au unamtafutia mkeo sababu? Mwache ainuse hata Mara elfu hata akitaka aivae kichwani kabisa. Nothing will happen to u.
  12. M

    Mke wangu nimemtimua leo

    Hasira hasara
  13. M

    Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

    Ukishaona mwanadamu anafikia hatua ya kumkosoa Mungu (neno la Mungu) basi ujue kuna shida inakwenda kumkabili. Nakushauri timiza wajibu wako kuyatenda yaliyo wajibu wako kama mwanadamu. Ukitaka kuyajua mafumbo ya Mungu basi omba kwa Mungu naye atakufunulia kama kweli nia yako ni njema. Ya...
Back
Top Bottom