Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,401
- 104,807
Samahani mkuu....Wanaume wa Dar mnalilia? mbona ninyi. Ni wasaliti wakubwa na tunawavumilia? acheni utoto. Umekaa ukamuonya?
Hivi unaanzaje kumkanya mtu ambae tayari umethibitisha kwamba anakusaliti...
Au ndio unamwambia kwamba... love, kwakua nimesha gundua kwamba hua una tafunwa, basi nimekusamehe lakini usiendelee na tabia hiyo ya kutafunwa..
