Mke wangu nimemtimua leo

Mke wangu nimemtimua leo

Wanaume wa Dar mnalilia? mbona ninyi. Ni wasaliti wakubwa na tunawavumilia? acheni utoto. Umekaa ukamuonya?
Samahani mkuu....
Hivi unaanzaje kumkanya mtu ambae tayari umethibitisha kwamba anakusaliti...
Au ndio unamwambia kwamba... love, kwakua nimesha gundua kwamba hua una tafunwa, basi nimekusamehe lakini usiendelee na tabia hiyo ya kutafunwa..
 
Pole sana, si vyema kuchukia moja kwa moja wanawake. Nakushauri pata muda wa kutosha wa kupumzisha akili yako na baada ya hapo rudisha moyo wako nyuma ufaidi muda mdogo wa maisha tuliyopewa duniani, maisha ni jinsi wewe mwenyewe unataka yawe, Hakuna aliye mkamilifu, Si vyema kuchunguzachunguza, wanawake hawatofautiani sana.
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.

Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.

Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.

Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.

Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
Haya ww wa nn mm namhitaji nitumie namba yake kama kwel umeachana nae
 
Pole sana kuchapiwa inauma sana, na nikovu lisilopotea, mana hata performance kwenye mapenz ungepoteza mana hyo ni reflective stress, na ungemtesa sana kipsychology. Ila usimwache huku bado unataman, na usimrudie ukimrudia tuu, atachepuka Tena, Mana utaonyesha uzaifu, kama ungetaka kuzibt ungemnyosha Sawa saw na huyo jamaa ungemfuata ajuwe unajuwa anachokifanya,
 
Miezi 7 ya ndoa amekusaliti? hapo kuna shida
 
Safi sana mkuu....mwanaume lazima uwe na uwezo wa kufny maamuz magum pale inapobidi....ila sasa mama hawez kukufariji bhana tafuta mwngn wa kukufariji
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.

Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.

Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.

Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.

Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
ukamfundisha kupanda ndege????au sijaelewa!! unajua unachokiandika kweli??
 
kama umefunga nae ndoa usimwache kirahisi hivyo
 
Mbona wataka kumpa mama yako majukumu mazito ambayo hayamstairi?
 
Ukisusa Siye Twala Mkuu Nipe Namba Zake Basi Aje Kwangu Mi Ht Anisaliti Vipi, Mi Cjali Kbisa K Haina Expired Date.
 
Pole mkuu,ni bora nusu shari kuliko shari kamili.Mungu akuongoze!!!
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.

Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.

Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.

Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.

Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.

Mpuuzi nn mama yako hakufariji kama mkeo sio inamaana ulikuwa huna mapenz na mama yako sio ? Baada yakuona mkeo amekusaliti ndio unasema unahamishia mapenz kwa sio acha zako umevurugwa nn, hata kama umevurugwa ndio umeshindwa kujizuia il huongee shida ilikukuta na mkeo ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom