Kipindi hiki kinarushwa kila Jumamosi kuanzia SAA 1 usiku. Kinapiga miziki ya kizamani (playback) wakati huo huo bendi ya utalii inaigiza wimbo huo. Kwangu naona no aibu bendi nzima imeahika vifaa vya mziki wanaigiza kama wanapiga kumbe ni CD inapigwa. Hivi kweli Utalii Band hamuwezi kupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.