Megawatt B
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 259
- 69
Kipindi hiki kinarushwa kila Jumamosi kuanzia SAA 1 usiku. Kinapiga miziki ya kizamani (playback) wakati huo huo bendi ya utalii inaigiza wimbo huo. Kwangu naona no aibu bendi nzima imeahika vifaa vya mziki wanaigiza kama wanapiga kumbe ni CD inapigwa. Hivi kweli Utalii Band hamuwezi kupiga kopy tukawaona mnapiga wimbo husika live?