Recent content by Megabits

  1. Megabits

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Haya wa December 13 hadi 23 mujiandae
  2. Megabits

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hakunaga odds za uhakika mkuu labda kama unaingia wewe uwanjani kucheza
  3. Megabits

    JamiiForums Tanzania Nini kitafuata ikiwa maandamano ya D9 hapo kesho hayatofanikiwa?

    Una uhakika na unachoongea?
  4. Megabits

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nilipigwa risasi kwenye maandamano, nimepona, ila Samia ni sehemu ndogo sana ya tatizo kati ya matatizo makubwa tuliyo nayo

    Sasa watajihami vipi ikitokea la kutokea. Toa elimu kidogo
  5. Megabits

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu mnaotumia 1xbet hivi haisumbui ku deposit na ku withdrawal nahitaji kujiunga
  6. Megabits

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee hizi ajira mbona ni kisanga wakati wengine kozi hizo hizo hata usaili bado hawajafanya tayari kuna zingine mpya na deadline 29 October mbona sintofahamu🤔
  7. Megabits

    JamiiForums Tanzania Ukimsikiliza huyu jamaa MZUKA WA KUTIKI UNAKATA KABISA.

    Kwa Tanzania hii iliyojaa mijitu mijuha tutachelewa sana wajanja wachache ndo hao wanaitafuna nchi. Ingekuwa ni nchi ya watu wenye akili wasingekubali kusombwa na malori kwende kuwapigia nderemo mbogamboga. Tuna kazi kubwa sana Poor Tanganyika..
  8. Megabits

    JamiiForums Tanzania Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

    Inafikirisha labda alibadili id
  9. Megabits

    JamiiForums Tanzania Tesha ni kanjanja tu hakunaga mwanajeshi wa hivi JWTZ

    Na kweli ndo yeye huyu
  10. Megabits

    JamiiForums Tanzania Angalizo kwa mkuu wa majeshi CDF

    Hawawezi
  11. Megabits

    JamiiForums Tanzania Je, Captain Tesha ni nani?

    PCM??🤔
  12. Megabits

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimetukanwa sana jambo linatimia sasa

    Habari nzito hizi asee 😬
  13. Megabits

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya simu nyingi za Oppo, Redme na Vivo ni mafamba!!

    Hizi aquos vipi hazina hayo mambo?
  14. Megabits

    JamiiForums Tanzania Kingereza kitafelisha wengi kwenye Oral Interview. Mwalimu kama hujui kingereza ni bora usijisumbue

    Umeongea kwa hisia sana mkuu. Umenyooka
  15. Megabits

    JamiiForums Tanzania Azam TV leo bure tu

    Wakifungua tena mtuambie nikafute vumbi kisimbuzi changu cha azam mana sijui nimekiweka wapi
Back
Top Bottom