Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

Waungwana nawasilisha kwenu hoja yangu naomba nipatiwe mwongozo niufuate,
Mimi ni kijana wa kitanzania nina miaka 30 kipato changu kwa kazi ninayofanya ni 1200000 per month, nina mke na watoto wawili wa miaka 5 na mwingine mwaka 1.
Nawaonea wivu sana Bakharesa na Mengi na mimi nataka niwe kama wao au zaidi,
Hivyo naomba ushauri nifanye nini ili nifanikiwe malengo yangu.
Nawasilisha
Mkuu vipi 2025 ndo hii umeshakuwa bilionea?
 
Jambo la kwanza kama upo hai natumai utakua umejifunza mengi kwenye safari ya kuusaka ubilionea.

Kama umetangulia mbele za haki ashukuriwe Muumba
 
Back
Top Bottom