Watu tunatofautiana kuelewa, hata kusoma, sijui kwa nii? Bora ulivyoliweka vzr
Maudhui ya mada ni tofauti anayoiona kati ya familia yake na maisha ya familia ya dada yake yaani yeye anaona ni kama paradizo na kuzimu kwa hiyo yeye ameitamani paradizo yao tofauti na wengine walivyoelewa kwamba...
Nilikuwa napenda masomo ya biashara,katikati ya form three nikaumwa,nilivyopelekwa hospitali nikaulizwa kama nilikuwa tayari nimekula,sikujua kilichokuwa kinafuata,nilidungwa sindano moja Kali had I nikaanguka chini Akili ziliporudi nilimuuliza Dr.ni dawa gani nimedungwa,akajibu tu 5mega...
Hongera hasa kwa kuwa na mapenzi ya kweli ukiwa wewe mi "me"maana naona na uvumilivu pi unao
Mapenzi ni maisha na maisha aio leo tu fikiria na kesho pia yapange haya mawili na uchague moja la muhimu kwako
Kupenda wewe tu na usipendwe au
Kupenda wewe na ukapendwa pia
Haya chagua.....!
Hongera sana, wako wengi waliofanyiwa makubwa kuliko na "wana wa kiume"
Lakini wako kimya kabisa na hawana hata asante ya moyoni
Lakini wachache waliofanyiwa mbaya kidogo tu kuonjeshwa, wana kelele hadi dunia nzima itajua
Lakini wewe umekuwa wa tofauti
Wanaume smart wengi sana
Marekani itazidi kuwa juu tena juu zaid kila siku, tusubiri tuone make white house kwa sasa imebadili mfumo wa utendaji kazi wake katika mambo ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa Trump anatumika tu kama askari kidole
Washington inashirikiana au inatumia sana FBI na CIA katika hii vita yao ya...
Bibie..!
Ukweli halisi ni kwamba unamtaka rafiki ambaye baadae ageuke kuwa mume
Ungekuwa urafiki tu wa kawaida huwezi kuomba ajitokeze mwenye sifa kama ulizotaka, ungeanza naye tu anaekufaa
Pili usingetaka mmoja kama hao uliokuwa nao wa kike walivyokuwa zaid
Tatu isingekuwa muhimu kunasibu...
Juliiiii...!
Aliyekwambia hilo ni tatizo yeye ndo ana tatizo na kama wewe ndo umehisi hivyo basi una tatizo tu la kujihisi vibaya na si vinginevyo
Hata mwenyewe niko hivyo
Kama MTU
Ndio kanisani uliza Jesus Victory Church au JVC ,hospital nzuri ni Ebenezer pale mwanjelwa na pharmacy au maduka ya dawa uliza maranatha misosi mingi ila hawajui kupika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.