Mimi Nilienda Kijiji Kimoja Kinaitwa Ilangali Karibu Na Manda Kwa Babu Mwaka Jana..Aisee..Babu Alikuwa Anaingiza mademu Usiku..Nilikaa Siku 4 ya tano Nikasepa Kurudi Zangu Manda.
Uyu mpwayungu village nimesha mwambia nita Mpiga Barua Moja Ya Trasfer ..ahamie Manda Akacheze Na Tembo.
Akae Asiamini Kama mimi afisa Elimu wake wa wilaya Uwa Nasoma Mambo yake..anayo tusema Hapa Wilayani.
Aya Ni Majungu Tu...Baada Ya Kutokuwepo katika mlologo,Hii ni national Cake,Wacha Watu Wapate kulingana Na Professional Zao.
Acha Majungu,Nenda Shule uwepo.
Medical attendat Hapa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.