Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
Kuna muda unaweza kwenda kwa ndugu kuwasalimia iwe likizo au kutalii mji, ila bahati mbaya wakawa wana chumba kimoja tu na sebule, hivyo ukaambiwa utakuwa unalala sebuleni na watoto wadogo pale.
Sasa wale wahanga njooni mtuambie ukitaka kwenda bafuni kuoga unafanyaje, na vipi ukitaka kubadilisha nguo ilihali pale sebuleni ni vurugu tupu; majirani hawakatiki kuja kuangalia movie ya Huba na Chakorii.
Sasa wale wahanga njooni mtuambie ukitaka kwenda bafuni kuoga unafanyaje, na vipi ukitaka kubadilisha nguo ilihali pale sebuleni ni vurugu tupu; majirani hawakatiki kuja kuangalia movie ya Huba na Chakorii.