Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,052
- 71,359
- Thread starter
- #21
Ndio wenyewe Mkuu.Na huu ndio UKWELI.
Ndio wenyewe Mkuu.Na huu ndio UKWELI.
Mkuuu maandiko nayajua kwa kiasi chake, hata hayo uloandika pia niliwah yaandika.
UKWELI NIKWAMBA, SISI WANAUME TUNATAFASIRI HAYO YOTE +HESHIMA KAMA NDIO "MWANAMKE MWENYE UPENDO YAAN ANAYETUPENDA ".
ndio maana utasikia.." daah dem ananipenda kinyamaaaa........ Huwa hatusemi....Demu ananiheshimu kinyamaaa.
Chibonge , mambo?? Hivi hiyo DP niwewe mwenyewe au??? Hii ni Mara ya pili Leo naipigia Punyeto.
Kama ushamuoa mko kwenye ndoa halari je?Leo nimeona niwakumbuke ndugu zangu wanaopenda Mwanamke kwa Dhati ya Moyo na akili yao yote na hisia zao zote kuliko Kumpenda Bwana Yesu.
Sawa, eehh ndo umempata sasa , umwekeza Muda na Pesa zako na hisia zako, kiasi kwamba Unaamini HUYO MWANAMKE akiondoka ,basi utakufa...
Kabla HUJAFA , yajue haya mambo ili yakusaidie kufanya maamuzi ya kuanza kujiondosha kwenye shimo la Dhahama Matokeo yake unaishia kulia lia
Nikisema nilishayaandika hapa ninamaanisha ..Nimekupa tu hint, usitafute kupendwa na Mwanamke kwa maana haitatokea sana sana kama akijua unataka usikie hilo kwamba “kakupenda” atakudanganya tu kukutumia na kukumwaga baadaye.
Cha muhimu kama Mwanaume kuwa na Mwanamke ambaye atakuheshimu, mambo ya kupendwa pendwa waachie Wanawake na watoto.
Wewe kama Mwanaume tafuta Heshima na ili uipate hiyo heshima ni lazima pia ustahili, kuvaa suruali peke yake hakutoshi kuheshimiwa heshima.
Huu ni uzoefu wangu kutokana na maisha yalivyonifundisha!
Mzee baba, na wewe kwenye hii mitikso umeipitia sana tuHayanaga mwongozo mkuu, wee mpe Ela TU mengine yatajiset mbele kwa mbele
Hapana , huko ni kumuendekeza Mwanamke.Ngwair alishasema , Vitu vitano vya kumfanya mwanamke asikuache
1) Mpe hela
2) Mpe hela
3 ) We mpe hela
4) Nakwambia mpe hela
5) We mpe hela utaona tuu
MR KUO ndo huheshimiwa Bwasheee, na kwakua hapaswi kuhukumiwa kwa niliyoyaandika, on the other hand yapi mengi mazuri yanayokukamilisha wewe.Kama ushamuoa mko kwenye ndoa halari je?
Nipe mbinu za kuweza kuvunja ndoa yenye mwanamke aliye kinyume na ulivyoeleza
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
100% true, nina miaka 20 katika ndoa ,nimeona kama vile unamchambua mke wangu.
Niaje MkuuNipo napitia comments zenu kimyakimya