Pesa za watu wasio onekana (majini au mengineyo)

Pesa za watu wasio onekana (majini au mengineyo)

April26

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2020
Posts
1,405
Reaction score
2,162
Kuna mshikaji wangu mmoja kanipa story hizi pesa za hao viumbe wasio onekana kama.majini n.k nowdays ndo zinawapa watu maisha.

Najuwa humu kuna wajuzi wa mambo ebu mimi na wengineo tusio elewa tunaomba kueleweshwa,,,je ni kweli na baada ya faida hazina hasara na hasara ni ya aina gani?

Ni nini kibaya cha hizo pesa ?

Na utamjuaje mtaalamu mkweli ?

Ahsante!
 
Kuna mshikaji wangu mmoja kanipa story hizi pesa za hao viumbe wasio onekana kama.majini n.k nowdays ndo zinawapa watu maisha.

Najuwa humu kuna wajuzi wa mambo ebu mimi na wengineo tusio elewa tunaomba kueleweshwa,,,je ni kweli na baada ya faida hazina hasara na hasara ni ya aina gani?

Ni nini kibaya cha hizo pesa ?

Na utamjuaje mtaalamu mkweli ?

Ahsante!
Kwahiyo mkuu unazitaka hizo hela?
 
Zipo, baharini penye kina kirefu. Ukizama kishirikina utaibuka na box lililojaa wekundu wa msimbazi. Ukifikia nchi kavu unahesabu mpaka unachoka. Ila zawadi ya hayo mapepo yaliyokupeleka ni damu za watu, utaweza? Vifo na mateso ya kutisha ni kutokana na hizo zawadi.
 
Kuna mshikaji wangu mmoja kanipa story hizi pesa za hao viumbe wasio onekana kama.majini n.k nowdays ndo zinawapa watu maisha.

Najuwa humu kuna wajuzi wa mambo ebu mimi na wengineo tusio elewa tunaomba kueleweshwa,,,je ni kweli na baada ya faida hazina hasara na hasara ni ya aina gani?

Ni nini kibaya cha hizo pesa ?

Na utamjuaje mtaalamu mkweli ?

Ahsante!
Utapigwa. Makinika utapigwa watu wanafanya dili haramu halafu wanasingizia hizo pesa..! Kama zipo basi wanaozipata ni mmoja kati ya milion kumi
 
Sasa jamaa kakupa story, si ndio akuelekeze huyo yeye kasikia wapi, fatilia cheni hiyo, kama ipo utawakuta.
 
Hela kweli Huwa zinapatikana, sema masharti ndo ishu kwa vijana wa siku hizi wanaishia kuwa vichaa na kupata mikosi ya kudumu kwenye maisha,

Mfano Mganga ana kupa sharti kila mwenzi unapo andama siku ya tatu yake hakikisha hichi kiumbe unakifukizia udi bila kukosa, kijana ukisha lewa pesa tuhh unaaza kudhalau mtambo ulio pewa kuupa huduma.

Kuna jamaa alipewa jini la kumletea hela kila siku, akapewa masharti kila jumapili ahakikishe anachinja mbuzi, na pombe asutumie, alivyo ona mamilioni yamejaa ndani,, akacha kuchinja mbuzi, akaanza kunywa pombe, mpaka sasa amekua chizi, hela alizo vuna yupo anakula mke wake, mandinga makali, nyumba za kutosha, ila ndo hivyo jamaa ana shinda Street kuokota makopo.

Unavyo enda huko uwe na roho ngumu, kama mtoto wa mama,, mama,, mama achana navyo,
 
Hela kweli Huwa zinapatikana, sema masharti ndo ishu kwa vijana wa siku hizi wanaishia kuwa vichaa na kupata mikosi ya kudumu kwenye maisha,

Mfano Mganga ana kupa sharti kila mwenzi unapo andama siku ya tatu yake hakikisha hichi kiumbe unakifukizia udi bila kukosa, kijana ukisha lewa pesa tuhh unaaza kudhalau mtambo ulio pewa kuupa huduma.

Kuna jamaa alipewa jini la kumletea hela kila siku, akapewa masharti kila jumapili ahakikishe anachinja mbuzi, na pombe asutumie, alivyo ona mamilioni yamejaa ndani,, akacha kuchinja mbuzi, akaanza kunywa pombe, mpaka sasa amekua chizi, hela alizo vuna yupo anakula mke wake, mandinga makali, nyumba za kutosha, ila ndo hivyo jamaa ana shinda Street kuokota makopo.

Unavyo enda huko uwe na roho ngumu, kama mtoto wa mama,, mama,, mama achana navyo,
Nipe direction
 
1.Fanya kazi
2.Fanya kazi
3.Fanya kazii
4.Fanya kazi kijana.

Ungekuwa karibu ningekuchapa kibao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom