sizan kwa maana ata jana umeme umekata saa moja jion na kurud usku wa manane na sku izi imekua kawaida tu kukatika kwa umeme apa moshi.
Isipokua ile line ya KCMC tu ndio umeme haukatik mara kwa mara
Mkuu FAJES nmeshachukua namba ako na nimejaribu kukupigia hujapokea me nipo tayar tutafanya biashar lakin kuanzia mwez wa tatu kwa maana saiv pesa nmeiwekeza kwenye miradi mingine kwaiyo kufkia huo mda nitakua tayar nishapata pesa tena
Kwa vile unamawazo kama yangu naomba nami nikuoe wazo ambalo mimi nimefanya.
mimi ni mwaka wa kwanza na nilichokifanya baada tu ya kuchuku boom ya kwanza nikatuma 600000 sehem kwa ajiri ya kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga uko morogoro ambapo nitalima hekari 2 kwa hela izo ni kuanzia kukod...
Muh!!! yan wengine toka july wapo shule afu hawa ndio waende leo??? ngoja niwe na akiba ya maneno kwa maana ili akatoboe mtihani wa kidato cha sta inatakiwa kujitoa kwa hali isiyokua ya kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.