Dah shame on you!usiseme na mimi ni mwanamme nakukandia,ni mwanamke kama wewe.Ila kwa hali hii UKIMWI kuisha Africa si miaka ya hivi karibuni,si tu kwa ajili ya magonjwa ndio ujiheshimu,NI KWA AJILI YAKO PIA.You said it yourself kuwa mchumba wako na rafiki yako wanaheshimiana kama...
wanaume wa sikuhizi sijui wakoje?Sasa kuwatawala wake zenu tu mmeshindwa sasa mnataka kumtawala kila mmoja.Mwanamke wa mwingine akivaa wigs/weaves wewe kinakuhusu nini?Ilimradi akirudi ndani kwake mumewe anaona hizo nywele zake za asilia kwasababu hatolala na hilo wig wewe wa nje inakuhusu nini...
-
Natanguliza samahani kwani najua nitakukwaza.Hivi wamchukiaje usiyemjua kias hicho??ata kama unamjua kwann ubebe chuki kubwa namna hiyo?au ndo kununua ugomvi?Maneno ya kinywa chako yamejaa kiburi na kujikweza utadhan una mkataba na Mungu.Ukiwa mwenye mafanikio tambua kuwa ni Mungu...
Duh..kwel ni dhambi,Ila are u a saint?Au katk dhambi zote unaona waliotoa mimba ndo wadhambi wakubwa.Cha kushangaza na cha kipekee zaidi.Kwa Mungu hakuna dhambi kubwa wala ndogo.Ni kwa rehema tu.Ila hatutakiwi kujiona wema kuliko wengine
Pole mwaya kuna majira ya kila jambo chini ya jua.Na sabb ya kila jambo kutokea.Kwa kuwa tumenyimwa kujua yajayo na muumbaji wetu,hutuwia ngumu kushukuru kwa kila jambo.Litapita tu na utasahau.Mtu sahihi akija utaona ulikuwa ukipoteza muda tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.