Rafiki yangu kanivuruga akili Mno

Rafiki yangu kanivuruga akili Mno

Juzi umekuja na uzi wa rafiki yako kakupaka lip stick mlimani city, leo tena rafiki yako kakuchulia mpenz.......
Na si alisema alikuwa na mke?
mmmmh bila shaka Tyta ana kazi ya kufanya hapa!
 
Last edited by a moderator:
tulishaachana ...Kinachonikaanga Mtima
Ni Kuona Mshauri Wangu Kakamatia ...tena Naona Anakanyaga Kwa Furaha Zote!!

Mapenzi yana maajabu sana. Yaani km namuona shem anavoikatikia mmboo! Kama namuona shem anavotoa sauti za mahaba kwa mshkaji akimthibitishia kuwa yeye ni fundi kuliko wewe jigo! Pamoja na utamu wote huu, papuchi ni yake, inatommbwa na mwingine wee huku maumivu!
Pole ma bruu!
 
Huna sababu ya kuumia wala kupoteza muda wako adimu kwa ajili ya vitu vidogo kama hivi.......maisha yana sehemu nyingi sana za kukupa raha na kufurahia maisha....usijibanze katika kichaka cha mapenzi ikiwa yanakufanya ulie.....hujioni ulivyo mjinga unaumia kwa ajili ya watu ambao hawaumii kwa ajili yako tena ndio kwanza wapo kwenye kilele cha raha........
Kwanini ujipe tabu wakati raha zipo....???............walau ungekuwa unajua thamani ya muda unaoupoteza kuyawazia haya ungejiona mjinga sana.........HESHIMU MUDA WAKO KWANI UKISHAPOTEA NDIO BASI TENA....lakini wanawake wamejaa tele kwa tele, warembo wa kuvutia , wembamba kwa wanene....weusi kwa weupe....AMKA.....
 
aiseee......
una kapollonium au ka acid au hata ka bastola kadogo labda nikushauri cha kufanya..........?.......
huyo jamaa kakuning'iniza tezi dume zako........na usipokuwa makini.......atazing'oa.........chukua hatua haraka........
bora ingekuwa humjui.........

hahahahhhhhhhhhhhhhhaaaa!!!!
 
Anajua Kabisa Yule Alikuwa Shemeji... Tena Hata Kesi Ndogo Ndogo Zilizotuhusu, Niliziweka Wazi Kwake Kwa Ushauri Na Msaada Wa Mawazo

Hata Tuliposhindwana Na Huyu Binti!.... Nilimshirikisha ......Na Kwakuwa Nilishavumilia Na Kuchoka Juu Ya Vitimbi Nilivyoangushiwa Na Huyu Binti, Akaafikiana Nami Kuwa Niachane Naye

Baada Ya Miezi Kadhaa......Cha Ajabu Kinachonishangaza Katika Hii Dunia Ni Kumuona Huyu Rafiki Yangu Akiwa Karibu Sana Na Huyu Binti Kwa Kipindi Hiki, Dalili Zinazoashiria Kuna Kitu Kinaendelea......Namaanisha Anamake Love Na Huyu Shemeji Yake
Nifanyeje Jamani?.....Kwani Kaniharibia wikend Yangu
Ahsante Jigo

Kua muungwana, muachie yeye kama ameona kampata basi size yake, wewe wala wasikushughulishe..
 
Kumbe haya mambo hata wanaume wanayo nilijua ni ss tu jinsia ya ke pole sana
 
Kumbuka sababu iliyokufanya uamue kuachana nae zen mpotezee, usirudi nyuma, songa mbele!!
Maisha lazima yaendelee tuu, tafuta WA kufanana nawewe utasahau huyo binti kk
 
Pole mwaya kuna majira ya kila jambo chini ya jua.Na sabb ya kila jambo kutokea.Kwa kuwa tumenyimwa kujua yajayo na muumbaji wetu,hutuwia ngumu kushukuru kwa kila jambo.Litapita tu na utasahau.Mtu sahihi akija utaona ulikuwa ukipoteza muda tuu.
 
Yani kitu kidogo ka icho umeshindwa cha kufanya mpaka umekuja kuuliza huku.
Huyo mwanamke keshakuona huwezi mpa ushauri wowote na watoto wenu wasinge kuwa na akili darasani ndo mana akamfata yule uliyekua unamtegemea akushauri.
 
aiseee......
una kapollonium au ka acid au hata ka bastola kadogo labda nikushauri cha kufanya..........?.......
huyo jamaa kakuning'iniza tezi dume zako........na usipokuwa makini.......atazing'oa.........chukua hatua haraka........
bora ingekuwa humjui.........

aiseee bayangu nimestuka sana nilivyo ona swala la tenzi dume nafikiri mweshimiwa anapaa tena mbele kutibiwa na kodi ze2 ha ha ha ngoja nikapate mbege yangu
 
Back
Top Bottom