Hapana, unakosea na umekosea!!wanaume wa sikuhizi sijui wakoje?Sasa kuwatawala wake zenu tu mmeshindwa sasa mnataka kumtawala kila mmoja.Mwanamke wa mwingine akivaa wigs/weaves wewe kinakuhusu nini?Ilimradi akirudi ndani kwake mumewe anaona hizo nywele zake za asilia kwasababu hatolala na hilo wig wewe wa nje inakuhusu nini sasa?
umjue sura yake halisi ili iweje??mume wake marafiki na ndugu zake wakijua sura yake halisi inatosha.Muda umefika watu wengine mkaanza kujali biashara zenu na si za watu.Masharti unayompa mkeo/mpenzi wako usitake yakawa masharti ya wake/wapenzi wa wengine.Aaarg mtu humlishi na wala humvishi kinachokusumbua nini na maisha yake?Mwache mumewe aseme au mpenzi wake.Lakini kwa upande wako ungemsemea mkeo hauna mamlaka ya kuwaaamulia wake au wapenzi wa wengine.,
Hivi wanasuka twende kilioni then wanavaa yale madude...eeh!
..Ujaribu sasa kumshika hayo manywele aliyovaa...
..Hivi mkifanya mapenzi inakuwaje, manake kuna vidume vinapenda kuchezea nywele..
tehe...mkifanya mabensi wigi linawekwa pembeni maana haliwezi kuhimili mikiki. Kama zimeshonewa zinaitwa weaving kwa hiyo hazitaleta mushkeli. Hao vidume wanaopenda kuchezea nywele mpaka umri huu watakuwa wameshajua kutofautisha nywele bandia na halisi.
Hiyo minywele sometimes inaboa sana ila wengine inawakaa vizuri sana. Unakuta mtu kalivaa limemkaa utafikiri zombi.
Ndio unakuta umemuomba mdada mtoke siku hiyo anakuja na minywele hadi pozi inakata unahisi tumbo la kuhara ili uahirishe mtoko maana ni aibu.
Kama changu kilivo na mbaVichwa vingi vina mba si mchezo
Heh, mamaa! mgogoro huu. Nilikuwa natania bwaaaana.Kama changu kilivo na mba
Nashukuru mama Temba wewe zako ni nachurali.hah ah aha halafu ujamalizia eti zinanukaa
Fashion kwenye nywele...ujinga huo...mbona wazungu wameridhika na nywele zao tangu kale mpk sasa.Jaribu kujisitiri sana kwa kaul yako, kwani si wote, na utumie singlar & plural, alafu hvo v2 nikuendana na fashion we unataka mtu awe natural hair mpaka z mfanane kiac kwamba akiwa mbal mtu anajua flan anakuja,. Khaaaa!
Kunuka na kuwasha...wanawake mna kazi kwelihah ah aha halafu ujamalizia eti zinanukaa
UwongoNa hayo mawigi ndio yanayopagawisha hadi mnaacha nyumba zetu na kwenda kuyahudumia. Wambeya wakubwa.... mnajifanya hamyapendi wakati mkiyaona suluali zinawatingishika!!!???? Tena wake zenu natural mnaona haya hata kutokanao out.... hovyoooooo kabisaa
Chukua tano! Ukweli mtupu.Na hayo mawigi ndio yanayopagawisha hadi mnaacha nyumba zetu na kwenda kuyahudumia. Wambeya wakubwa.... mnajifanya hamyapendi wakati mkiyaona suluali zinawatingishika!!!???? Tena wake zenu natural mnaona haya hata kutokanao out.... hovyoooooo kabisaa
Jipambe vyovyote usiweke nywele fakeNina experience ya maisha, nimejifunza tabia za binadamu hasa wanaume. Walio wengi hupenda sana mwanamke mrembo anayejipamba sana kuwa naye popote LAKINI hawapendi wake zao wajipambe maana hujua watapendwa na kushawishika na wanaume wengine!
Subutu sio kizazi hikiBasi tunza nywele zako hata kama utakuwa na para we poa tu.....
He hee ntakucheki badae halafuHeh, mamaa! mgogoro huu. Nilikuwa natania bwaaaana.