Eti wanawake huwa hawacheat

Eti wanawake huwa hawacheat

haha kwan hao wanaume huwa wana chit na wanawake or wanaume wenzao ?!
 
Mkubwa wangu challenge kwenye maisha yetu ni kama ada and i accept that

Lakini challenge ya mke wangu kugongwa halafu nikajua aiseeeee....................
I second you. Kugongewa mke kinauma vibaya. Inaweza kumfanya mtu kufikiri swala zima la kuoa mara tatu tatu.
 
Ooooooops kina mama wametiririka humu......... Kuna kipindi nilikuwa nafurahia na kuenjoy kufanya mapenzi na wanawake wanaowacheat wapenzi wao hivyo mostly nilikuwa nadate wenye waume zao.
Ndiyo Nyani Ngabu wanawake wanacheat sana kuliko unavyoweza kudhani.
 
Last edited by a moderator:
​Ni aje!? Tia neno usiogope bhanaaaa!

nilikuwa napitia umri wa hao wanaotafta michepuko. nimeona kama wengi ni watu wazima..... kumbe n.y.ege hazina umri aiseee.
habari za uzima wako lakini?
 
Ooooooops kina mama wametiririka humu......... Kuna kipindi nilikuwa nafurahia na kuenjoy kufanya mapenzi na wanawake wanaowacheat wapenzi wao hivyo mostly nilikuwa nadate wenye waume zao.
Ndiyo Nyani Ngabu wanawake wanacheat sana kuliko unavyoweza kudhani.

dah! besti tisheeeerrr sanaaarr.
 
Last edited by a moderator:
I second you. Kugongewa mke kinauma vibaya. Inaweza kumfanya mtu kufikiri swala zima la kuoa mara tatu tatu.

Why mke tu? hivi huwa mnadhan tuna mioyo ya chuma?hata sie tunaumia sana tu...
Ngoja tu niache kwenye mabano ila....(.....)
 
dah! besti tisheeeerrr sanaaarr.

Best I had my reasons ujue ...........
Mwanaume ukitaka kujua kama kina mama wanacheat tafuta wenye waume/wanaume zao ask them out wala usihofu kuwa ana mtu..... Utajionea
 
Best I had my reasons ujue ...........
Mwanaume ukitaka kujua kama kina mama wanacheat tafuta wenye waume/wanaume zao ask them out wala usihofu kuwa ana mtu..... Utajionea

ila hili swala la kucheat haina mwanamke wala mwanaume, wote mule mule maana hata hao waume waliiooa nao kutwa kutongoza mabinti.
 
Hujasikia ile misemo miwili maarufu ya MUJINI? "Maini hayazeeki" na "Uzee mwisho Chalinze" Habari ndiyo hiyo.

nilikuwa napitia umri wa hao wanaotafta michepuko. nimeona kama wengi ni watu wazima..... kumbe n.y.ege hazina umri aiseee.
habari za uzima wako lakini?
 
Back
Top Bottom