Ulizia na bei ya Taa ya mbele ya Subaru Forester SG ya 2006 au 2007 ulete mrejesho.
Kama humiliki hizi gari acha kutisha wengine. Mim namiliki RR na nliipata ikiwa na miles nyingi kidogo. Yes kuna changamoto ambazo pia nlikuwa nikizipata kwenye Subaru na VW as well.
Comfortability haijawahi...
Hili jambo halina maaumuzi ya kudumu. Kuamua uzalishie mkoani au Dar inategemea na bei ya Mahindi ya Sehemu zote mbili, Bei ya Pumba ya sehemu zote mbili, Bei ya Unga kwa sehemu zote mbili na hali ya upatikanaji wa mahindi.
Weka excel itakayoruhusu mabadiliko ya hizo parameters na itakusaidia...
tatizo motivators wengi hawafanyi biashara husika practically. Wanasema tu.
Anyways, over 60% ya biashara ulizotaja hapo nimewahi zijaribu na nimejipata kwa kitu tofauti kabisa. Kwa ground mambo mi tofauti sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.