sangaima
Member
- May 16, 2023
- 9
- 15
Habari wanajamii forum wenzangu kama kichwa cha madaa kinavyojieleza, Mimi ni kijana wa kiume wa kitanzania mtafutaji na mchakarikaji. Nimefanikiwa kufungua biashara na kupata documents zote za usajili zinazootakiwa ( Brela, TRA nk ) nakufanikiwa kuapata na offisi.
Kutokana na changamoto za maisha nimekwama kwenye mtaji ( operational cost) ambayo ni shillingi laki 7 hivyo basi. Natafuta mwekezaji, partner wa biashara, mkopeshaji wakuiwezesha biahsra kwa kutoa icho kiwango. Nipo tayari kukaa mezani kwajili ya mazungumzo ya juu ya marejesho, faida, riba nk. Nakufuata hatua zote za kisheria zitakazo hitajika.
kwa maelezo zaidi tafadhali naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0693258883
Kutokana na changamoto za maisha nimekwama kwenye mtaji ( operational cost) ambayo ni shillingi laki 7 hivyo basi. Natafuta mwekezaji, partner wa biashara, mkopeshaji wakuiwezesha biahsra kwa kutoa icho kiwango. Nipo tayari kukaa mezani kwajili ya mazungumzo ya juu ya marejesho, faida, riba nk. Nakufuata hatua zote za kisheria zitakazo hitajika.
kwa maelezo zaidi tafadhali naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0693258883